Wakuu salam,
Nahitaji kujenga vyumba vya kupangisha kwa watu walio single yaani chumba na sebule ndogo na choo cha ndani. Nahitaji vyumba vitatu, nitatumia matofali ya kuchoma, bati za kawaida na nipo mkoani Tanga. Natakiwa niwe na shilling ngapi ili niweze kufikia level ya kupaua? Gharama za material na ufundi.
Ahsante.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahitaji kujenga vyumba vya kupangisha kwa watu walio single yaani chumba na sebule ndogo na choo cha ndani. Nahitaji vyumba vitatu, nitatumia matofali ya kuchoma, bati za kawaida na nipo mkoani Tanga. Natakiwa niwe na shilling ngapi ili niweze kufikia level ya kupaua? Gharama za material na ufundi.
Ahsante.
Sent using Jamii Forums mobile app