Biashara haipotezi bei ila watu ndo wanapotenza bei.
Mtu anaanza biashara kwa vile wengine wanafanya na hajuwi kwanini wananfanya biashara. biashara ambayo haina malengo lazima ife.
Mtu kufanya biashara mradi nae ana biashara hii lazima iwe chali, yaan una hela alafu unauliza mtu biashara gani naweza kufanya. hiyo ni dalili ya kufeli.
Huna mfumo endeshaji wa biashara yako alafu ukute biashara ndo umeanza lakini unaitegemea kwa kila kitu, hiyo biashara lazima tu ifeki duka litakuwa nyeupe maana kinachopatika kinaenda kwenye matumiz yako binafsi.
Kutaka kuanza pakubwa wakati mteja wako mdogo. yaan business plan yako ni M1 wewe una laki 1, ila unafoce kuanza biashara kwamba utaongeza ukipata hela, hapo utafeli. fanya biashara inayoenda na laki 1.
Salimia watu upate kujua wenzako wanafanya nini hasa katika maswala ya bidhaa wanatoa wapi. masoko yako wapi. bidhaa gani iko kwenye top.
NK……