CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Nchi hii foregners hawa wana make sana pesa asikuambie mtu, usiwachukulie poa sana hawa jamaa.
Mfano kwa Arusha nimekutana na Foreigners wana make pesa kwenye vitu ambavyo tungepwaswa sisi kufanya ila ndio kama hivyo.
Kuna Foreigners anatengeneza Hand Made Soap za Kuogea,yaani ukiona anavyo zitengeneza utaamini kwabisa sisi tuna matatizo, anatengeneza Guest Soap na ana oda za Camp na Mahoteli za kitalii, ni full handa made na hata Packahing yenyewe ni matata sana. Nikakumbuka training za SIDO za watu kuzalisha sabuni za maji yaani creativities hakuna.
Mikate, hapa ndipo nilichoka kuna Dada ni wa kizungu ana oka mikate, sio hii tunayo uziana mitaani hapana mikate ya ukweli na ghari sana, mkate unatembea 10,000\ na ana wateja wake na daily anazalisha mikate 100 hadi 150 tu na inaisha yote, niliwahi jitutumua siku moja nikakununua huo mkate sema alinifanyia 5000 kwa sababu nilikuwa na mdai pesa aisee ilinifanya niache kabisa kula hii mikate yetu ya mtaani, tunauziana sponji na wala sio mikate mara 100 ninywe chai kavu.
Fanicha, nilikutana na mzungu pia anatengenezea nyumbani kwake fanicha na anazalisha kwa ajili ya wazungu wenzake na pia hizi hotel, mbao ni hizi hizi misitu yetu, cha ajabu sisi tunakomaa na fanicha za Mabox kutoka China, aisee kuna sehemu hatuko sawa. Meza mmoja unaweza itumia miaka 50 na ikawa iko sawa but tunakomaa na fanicha za mabox kutoka China sijui shida ni nini.
Hoteli za Katavi zile za utalii, Mboga na matunda zinatoka Arusha, hebu fikiria mboga zinatolewa Arusha kupelekwa Katavi National Park kwa ajili ya Wageni, Katavi sijawahi fika ila najua kuna raia.na wanalima, sasa je wanalima nini hasa?
Home made Jam, kuna mwingine pia huyo nar anatengeneza Home made Jam za ukweli na kuuzia wenzake.
Hao wote wanatengenezea nyumbani hizo Products zao na ni za viwango hasa.
Wako wengi sana wengine spice kuna anaye zalisha uyoga anauzia wenzake, kuna anayetengenezea nyumbani chakula cha mbwa anawauzia wezake, lisit ni ndefu sana ila kwa kifupi tuna shida mahali.
Mfano kwa Arusha nimekutana na Foreigners wana make pesa kwenye vitu ambavyo tungepwaswa sisi kufanya ila ndio kama hivyo.
Kuna Foreigners anatengeneza Hand Made Soap za Kuogea,yaani ukiona anavyo zitengeneza utaamini kwabisa sisi tuna matatizo, anatengeneza Guest Soap na ana oda za Camp na Mahoteli za kitalii, ni full handa made na hata Packahing yenyewe ni matata sana. Nikakumbuka training za SIDO za watu kuzalisha sabuni za maji yaani creativities hakuna.
Mikate, hapa ndipo nilichoka kuna Dada ni wa kizungu ana oka mikate, sio hii tunayo uziana mitaani hapana mikate ya ukweli na ghari sana, mkate unatembea 10,000\ na ana wateja wake na daily anazalisha mikate 100 hadi 150 tu na inaisha yote, niliwahi jitutumua siku moja nikakununua huo mkate sema alinifanyia 5000 kwa sababu nilikuwa na mdai pesa aisee ilinifanya niache kabisa kula hii mikate yetu ya mtaani, tunauziana sponji na wala sio mikate mara 100 ninywe chai kavu.
Fanicha, nilikutana na mzungu pia anatengenezea nyumbani kwake fanicha na anazalisha kwa ajili ya wazungu wenzake na pia hizi hotel, mbao ni hizi hizi misitu yetu, cha ajabu sisi tunakomaa na fanicha za Mabox kutoka China, aisee kuna sehemu hatuko sawa. Meza mmoja unaweza itumia miaka 50 na ikawa iko sawa but tunakomaa na fanicha za mabox kutoka China sijui shida ni nini.
Hoteli za Katavi zile za utalii, Mboga na matunda zinatoka Arusha, hebu fikiria mboga zinatolewa Arusha kupelekwa Katavi National Park kwa ajili ya Wageni, Katavi sijawahi fika ila najua kuna raia.na wanalima, sasa je wanalima nini hasa?
Home made Jam, kuna mwingine pia huyo nar anatengeneza Home made Jam za ukweli na kuuzia wenzake.
Hao wote wanatengenezea nyumbani hizo Products zao na ni za viwango hasa.
Wako wengi sana wengine spice kuna anaye zalisha uyoga anauzia wenzake, kuna anayetengenezea nyumbani chakula cha mbwa anawauzia wezake, lisit ni ndefu sana ila kwa kifupi tuna shida mahali.