Wazungu\Foregners wanatengeneza sana pesa hapa nchini kwa ujinga wetu

Hata mchina anafyatulia tofali za kujengea ghorofa za mjini kwenye kampuni za ujenzi za wachina wenzake nyumbani kwake,Kila tofali akipata faida ya sh 300 yupo mbali
 
Kabisa , tunatengeneza nchi ya vijakazi na watumwa
 
Kafanye wewe uone kama utauza.

Furniture za China zinanunuliwa sababu ni muonekano mzuri, afu za China ni nzuri kuliko zetu, yategemea na pesa zako

Furniture za kitz ujanja mwingi sana, utaliona linangaa ila ukikalia linaanza kaa chini.

Meza na makabati ya Tz wanadanganya wametumia mbao kumbe ni plywood na marine board
 
Mpaka atoke kule alipo aje hapa gundua huyo ana kitu cha ziada; Kama wanachofanya ni rahisi na wewe fanya uone matokeo.....; Hao mmoja mmoja ni creme de la creme Kama tu vile MP wa sasa wa UK wazazi wake wa Asili ya Kihindi walivyotoka huku East Africa....

Lakini kama Nchi / Taifa kudumaa kwetu kunachangiwa pia na marginalization ya nchi za mbali; ndio maana waasisi waliliona hilo na wakapigia chepuo Unification of Africa - Lakini kwa Ubinafsi na hilo haliwezekani (hence kila mtu kushinda mechi zake kinachopelekea wote kushindwa )
 
Mama says to me is not easy to understand it son!!
But hope if try it u will be back with different experience.

Nigga it's tough than u think.
 
Ukiacha uwezo wetu wa kuchakarika, lakini mifumo yetu sio rafiki kabisa kwa wazawa, kule zenj,sehemu moja inaitwa PAje kuna mzungu analima pilipili! Na ye ye ndio sole supplier kwenye ma hotel yote (yanayomilikiwa na wazungu pia), we m Swahili kupata hii tender, may be uwe mtoto wa waziri.
Kwa hotel za zenj, hutegemea mboga mboga, nysnya, na mayai kutoka bara,lakini bara haiwezi kukidhi mahitaji, mpaka inabidi waagize kutoka South Afrika,
Nilichojifunza, ukitaka kutoka na kupiga pesa, kwanza tuache kuwaza kama wajamaa, kupenda kusaidiwa, tunatakiwa tuwe aggressive(mkinga,haya, chaga wanayo hii), pili luggage ni muhimu Sana,
Nimeshuhudia wa Kenya wanachukua tender za hapa bongo ki uraisi Sana, kwanza wanajua kujieleza vzr, Hawa wenzetu weupe unafika hotelini kwake unataka kuomba tender ya kumletea mboga mboga, au kuhudumia vifaa vyake vya umeme, unapewa nafasi uongee unaanza ze zeee ze, wanakuona wa maana ukipiga ngeli ikaflooow kama maji.
 
Kitu nilichokiona kwa wabongo yani kuliko mtu amuungishe rafiki yake au ndugu ni bora akanunue kwa mtu asiyemfaham.Nilichojifunza kwa wahindi yani kununua vitu kwa muhindi mwenzake ni jambo la kawaida kabisa ila sisi wabongo tuna roho kubwa. Hata ukiangalia watu wengi waliofanikiwa hawana roho kubwa wako humble tuu ndio maana baraka zinazidi kuwashukia.
 
Na Bado wanasisitiza elimu Kwa kiswahili
 
Uko sahihi kabisa, watu hawafahamu tu.
 
Kweli kabisa.
 
Shule ya Atlas, kwanza kupata tenda kazi na ukipata tenda unasupply malipo wanakuzungusha. Ila alikuja mchina ana supply mkaa, yani wanamlipa kabla hata ya kuleta huo mkaa. Sisi ngizi nyeusi tunabaniana sana
 
Hao foreigners wameingiaje nchini.
Usije ukakuta ni wale wazungu wazawa wamepata connection kwa wazungu wenzao
 
Sio kweli.. Kuna Makabila hapa Tanzania usipojua lugha yao hawanunui bidhaa zako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…