Wazungu hawapendi wanawake wenye makalio makubwa. Haya mambo yako huku kwetu Afrika tu

Wazungu hawapendi wanawake wenye makalio makubwa. Haya mambo yako huku kwetu Afrika tu

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
10,406
Reaction score
19,892
Siku kadhaa nyuma nilibahatika kuwa na wazungu waliokuja hapa ofisini kwetu kwa shughuli flani.

Katika story za hapa na pale wakaniuliza kwa nini wanawake wengi wa kiafrica wamenenepa makalio?

Nikawajibu ndio raha yetu sisi wanaume zao tukiyaona.

Jamaa wakaniambia kule kwao mwanamke akiwa na makalio makubwa wao wanamchukulia kama ulemavu.

Hili suala limenishangaza kidogo.

Huku kwetu Africa baadhi wanawake wanaenda Turkey kufanyiwa surgery za kuongeza wezere kumbe huko duniani wenzetu wanauchukulia kama ulemavu?
 
Siku kadhaa nyuma nilibahatika kuwa na wazungu waliokuja hapa ofisini kwetu kwa shughuli flani.
Ktk story za hapa na pale wakaniuliza kwa nini wanawake wengi wa kiafrica wamenenepa matako?nikawajibu ndio raha yetu sisi wanaume zao tukiona hayo mamimatako yao ingawa mengi yamejaa magonjwa ya dhinaa.jamaa wakaniambia kule kwao mwanamke akiwa na mimatako mikubwa wao wanamchukulia kama mlemavu.
Hili suala limenishangaza kidogo,huku kwetu africa baadhi ya mijanajike inaenda Turkey kufanyiwa surgery za kuongeza wezere kumbe huko duniani wenzetu wanauchukulia kama ulemavu?
Huyo mzungu basi hajui Historia yake, Ulaya Hips kubwa na makalio makubwa yapo Associated na kizazi kizuri, kwa maelfu ya miaka wanaume walikua wana chagua wanawake wenye sifa hizo wakiamini watawazalia watoto wenye Afya.
 
Siku kadhaa nyuma nilibahatika kuwa na wazungu waliokuja hapa ofisini kwetu kwa shughuli flani.
Ktk story za hapa na pale wakaniuliza kwa nini wanawake wengi wa kiafrica wamenenepa matako?nikawajibu ndio raha yetu sisi wanaume zao tukiona hayo mamimatako yao ingawa mengi yamejaa magonjwa ya dhinaa.jamaa wakaniambia kule kwao mwanamke akiwa na mimatako mikubwa wao wanamchukulia kama mlemavu.
Hili suala limenishangaza kidogo,huku kwetu africa baadhi ya mijanajike inaenda Turkey kufanyiwa surgery za kuongeza wezere kumbe huko duniani wenzetu wanauchukulia kama ulemavu?
Hiyo ilikuwa zamani lakini siyo sasa😁
 
Mwanamke mnene kama ni masikini ni shida! Kutunza huo mwili mkubwa unahitaji hela! Kuanzia kiasi cha maji na sabuni ya kuuogesha na manukato ya kuupaka na chakula vyote ni gharama. Mwanamke wa aina hii kama hana hela ananuka!
 
Back
Top Bottom