Wazungu tanzania Ashiki sana!!! Na hamna watu, wananchi hawajawa teyari bado wajinga

mkuu numekubali uchambuzi wakeo na hii kitu ni kweli kabisa nishawahi kuongea nna baadhi ya watoto kutoka italy wakawa wanaongea maneno hayahaya wengi wanapendelea sana kwenda jamaica
wanaume wa kibongo mpo?
he heee,:yo:

Mpooooo!
 
Mimi naona vizungu vingi vinavyokatiza hapa arusha vichafu chafu tu.....labda na wao wajitahidi kujiweka soap

Haaaaa haaaaaa umenichekesha kweli wewe, shida yako ukivipata unavinusaga sana, vipige sop sop mwenyewe, sado ya omo sio bei kiivo.
 
Hapa umekosea njia. Kuna majukwaa ya kutangaza tenda kama hizo. Nina imani JF members si watu wa dhiki na wakosefu wa maadili kiasi hicho mpaka wafikie kujiuza.

 

πŸ˜›ound: πŸ˜›ound: πŸ˜›ound: πŸ˜›ound:
 
I can not believe this!!! Yaani unahamasisha ujasiriamali wa aina hii.. Basi wachukue wewe msafi....holy CRAP!!
 
Mimi naona vizungu vingi vinavyokatiza hapa arusha vichafu chafu tu.....labda na wao wajitahidi kujiweka soap
hii ni kweli kabisa an mtu ambaye ashawahi kukaa na wazungulazima akubaliane na wewe, mzungu hawezi kuoga mara mbili kwa siku hata siku moja. kama nadanganya mtuaseme hapa
 
Ivunga umejuaje kuwa haogi zaidi ya mara moja?
 
hii ni kweli kabisa an mtu ambaye ashawahi kukaa na wazungulazima akubaliane na wewe, mzungu hawezi kuoga mara mbili kwa siku hata siku moja. kama nadanganya mtuaseme hapa
Halafu hili huwa najiuliza sana nikiangalia movie! wakiamka wanavaa nguo wanatoka, au wakilala kwa mfano wanafanya mapenzi wakikurupuka mmoja kuondoka anachukua nguo yake anavaa na kuondoka, kwa kweli hii ni dalili moja kuwa hawapendi kuoga au ni sababu ya baridi?ila maji si huwa yamoto?
 
On my way To Zanzibar.......πŸ˜›lane:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…