Katika wimbo wa Baba Tiffah aliofanya collabo na P square, wimbo unaoitwa "Kidogo" naona shooting inafanywa na wazungu, niwazungu wa kampuni gani hao? ina maana Baba T ana maproducer wazungu? Pia naona kuna madensa wakizungu mmoja nimemwona pia katika wimbo wa Kamatia chini wa Eddy Kenzo. Au ndio timu ya Mama Tiffah.