Wazungu waliwezaje kujua lugha za makabila?

Wazungu waliwezaje kujua lugha za makabila?

BENTY

Member
Joined
Jan 3, 2019
Posts
11
Reaction score
23
Waheshimiwa wana jf naomba kuelimishwa kuhusu lugha zetu wanadamu hususuni watanzania wenzangu.Hapa nchini tuna makabila zaidi ya 120 na kila kabila wana lugha yao wanayoitumia kwa mawasiliano na shughuli zingine za kila siku.Mfano mikoa ya kusini Mtwara kuna wamakonde,Ruvuma kuna wangoni, Mbeya kuna wanyakyusa na kadhalika.Makabila yote hayo kila kabila wana lugha yao tofauti kabisa na lingine.Swali langu ndugu zangu ni hili, je nani aliwafundisha kuzungumza lugha hizo kwa sababu hata mwarabu au wazungu walipokuja kwetu Afrika walikuta wenyeji wana lugha yao.Natanguliza shukrani.
 
Back
Top Bottom