Wazungu wamenivutia zaidi

Wazungu wamenivutia zaidi

Wazima humu nyie watu,,,

Kama kichwa cha habari kilivyoandikwa hapo juu.

Nimetokea kuvutiwa na wazungu Sanaa labda hii ni kutokana na maigizo yao nayoyaangalia sana

Kubwa zaidi natamani kuchanganya rangi nipate watoto wa kizungu machotara wenye manywele

Kama kuna anaejua namna ya kuwapata hao wazungu anidokeze au kama unae unipe

Namtaka mzungu wa umri miaka 23-48

NB:
Sitaki mababu wala sitaki mali nataka ni mix color [emoji23][emoji23][emoji23]
Sina hela ya kulipia dating sites labdaa kama kuna za bure yaani free dating sites ndo unielekeze [emoji1787][emoji1787]

Kuna mtu atasema nina njaa sina nimeshibaa nawapenda tu hao watu

Pia usiulize wala usinambie nibaki na mbongo simtaki


[mention]mamamzungu [/mention] + baba mzungu

Babamzungu anahitajika kama kuna connection huko
Mimi ni mzungu njoo tumix hizo colour
 
Unahitaji msaada wa kisaikolojia. Umeishi na kukua na watu weusi, then unavutiwa na watu weupe, hauoni kuwa hapo unakuwa unashida kwenye akili yako.

Sent using Jamii Forums mobile app

Pathetic… kila mtu na uhitaji wake wewe unavohitaji mwanamke mweupe with big matako sisi vimbaumbau unamuachia nani.. sisi weusi unamuachia nani

Kila mtu na mtue bwanaaa wewe
 
Ubaya wazungu wanazaa kwa mipango, wanafikiri kabla ya kuzaa sio kama sisi wasukuma tunafikiri baada ya kuzaa.

Sema ukimuotea unapata chotara lenye akili na rangi ya baba ni guarantee

Na mimi ni cheusi mangara nitamuoteaa eeh[emoji23]
 
Pathetic… kila mtu na uhitaji wake wewe unavohitaji mwanamke mweupe with big matako sisi vimbaumbau unamuachia nani.. sisi weusi unamuachia nani

Kila mtu na mtue bwanaaa wewe
Dunia haishi kulingana na unavyo hitaji wewe,sawa sawa na Mhindi aoe Mwafrika.
 
Wazima humu nyie watu,,,

Kama kichwa cha habari kilivyoandikwa hapo juu.

Nimetokea kuvutiwa na wazungu Sanaa labda hii ni kutokana na maigizo yao nayoyaangalia sana

Kubwa zaidi natamani kuchanganya rangi nipate watoto wa kizungu machotara wenye manywele

Kama kuna anaejua namna ya kuwapata hao wazungu anidokeze au kama unae unipe

Namtaka mzungu wa umri miaka 23-48

NB:
Sitaki mababu wala sitaki mali nataka ni mix color [emoji23][emoji23][emoji23]
Sina hela ya kulipia dating sites labdaa kama kuna za bure yaani free dating sites ndo unielekeze [emoji1787][emoji1787]

Kuna mtu atasema nina njaa sina nimeshibaa nawapenda tu hao watu

Pia usiulize wala usinambie nibaki na mbongo simtaki


[mention]mamamzungu [/mention] + baba mzungu

Babamzungu anahitajika kama kuna connection huko
Fika bunju kila Simba wakiwa na mazoezi.
Mzungu yupo pale
 
Wazungu ni wakawaida sana ukikutana nao kwa macho.
Zile movies unazoziona ni sababu wanatumia camera kali sana za bei mbaya, wanaita Cinema Cameras.

Ila macho kwa macho mimi nitamchagua lucy wa mbagala kati ya angelina jolie.
Sahii kabisa,
Kwa waliotembelea ulaya watathibitisha hili, wazungu weng ngozi zao mbaya Sana.

Kama vitoto vya nguruwe
 
Back
Top Bottom