Sahihi kabisa, na ukiachana na camera kali wale mastaa wakubwa wanatumia vipodozi vikali na makeup artist wabobezi just kutengeneza ngozi kwa ajili ya shooting na kuwa mbele ya camera.Sahii kabisa,
Kwa waliotembelea ulaya watathibitisha hili, wazungu weng ngozi zao mbaya Sana.
Kama vitoto vya nguruwe
That's right na pia ukiacha camera kali wanakuwaga na professional makeup artists kwa ajili ya kutengeneza ngozi, na ndio maana mara nyingi ukiwaona kwenye movie ile ngozi yao nyeupe kupitiliza inakuwa kama imefifia hivi.Mimi najiulizaga sana mbona kila mzungu naemuona Arusha ni mbaya?? Hasa ngozi yao ilivyo ila kwenye muvi wazuri sana au hawa naowaona ni low life?? 😅
Nasahau wanatumia IMAX 3D Camera ndio nawaona wazuri.
Kiukweli siwapendi hata kidogo navutiwa Zaid na Black American. Ukienda cinema unawakuta wazuri sana aisee
NB. Mtoa mada mm ni mzungu wa nafsi, natumaini nakidhi Vigezo vyako
Acha kuangalia porn dada.
Dunia haishi kulingana na unavyo hitaji wewe,sawa sawa na Mhindi aoe Mwafrika.
Wazungu ni wakawaida sana ukikutana nao kwa macho.
Zile movies unazoziona ni sababu wanatumia camera kali sana za bei mbaya, wanaita Cinema Cameras.
Ila macho kwa macho mimi nitamchagua lucy wa mbagala kati ya angelina jolie.
Fika bunju kila Simba wakiwa na mazoezi.
Mzungu yupo pale
Sahii kabisa,
Kwa waliotembelea ulaya watathibitisha hili, wazungu weng ngozi zao mbaya Sana.
Kama vitoto vya nguruwe
Utapata TU,we tilia mkazo,weka nia
Mimi najiulizaga sana mbona kila mzungu naemuona Arusha ni mbaya?? Hasa ngozi yao ilivyo ila kwenye muvi wazuri sana au hawa naowaona ni low life?? [emoji28]
Nasahau wanatumia IMAX 3D Camera ndio nawaona wazuri.
Kiukweli siwapendi hata kidogo navutiwa Zaid na Black American. Ukienda cinema unawakuta wazuri sana aisee
NB. Mtoa mada mm ni mzungu wa nafsi, natumaini nakidhi Vigezo vyako
Me wazungu ninao wengi,fanya jitihada unitafute kisha 2pange miadi tukutane uwanjani nikupatie wazungu
Sahihi kabisa, na ukiachana na camera kali wale mastaa wakubwa wanatumia vipodozi vikali na makeup artist wabobezi just kutengeneza ngozi kwa ajili ya shooting na kuwa mbele ya camera.
Ila ukiwaaona nje ya hapo ngozi zao zinakuwa sio kabisa.
Unapotaka kitu unakifuata,wafuate walipo....mahoteli...sehemu za starehe zile high classic na maeneo ya utalii.Anzisha urafiki then mtaafikiana lengo lakoNitawapatia wapi sasa[emoji23]
That's right na pia ukiacha camera kali wanakuwaga na professional makeup artists kwa ajili ya kutengeneza ngozi, na ndio maana mara nyingi ukiwaona kwenye movie ile ngozi yao nyeupe kupitiliza inakuwa kama imefifia hivi.
Ukiongeza na lighting, filters na camera bei mbaya basi Hailee Steinfeld anaonekana bonge la angel.
Niliona picha ya hailee steinfeld aliyopiga kwa low quality camera nikamuona wa kawaida sana ni kama wale wazungu wanaooneka mitaani tu. ule urembo wake unaooneka kwenye movie ya bumblebee au series ya hawkeye wote umepotea.
Nikasema don't judge a girl by her high budget blockbuster movies.
Aisee umeongea jambo kubwa sana kwa sisi Wasukuma bado tunaamini utajiri wa mtu ni kuwa na watoto wengiUbaya wazungu wanazaa kwa mipango, wanafikiri kabla ya kuzaa sio kama sisi wasukuma tunafikiri baada ya kuzaa.
Sema ukimuotea unapata chotara lenye akili na rangi ya baba ni guarantee
Kila mtu ana choice zake katika maisha na wala siyo shida ya akili.Unahitaji msaada wa kisaikolojia. Umeishi na kukua na watu weusi, then unavutiwa na watu weupe, hauoni kuwa hapo unakuwa unashida kwenye akili yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila mtu ana choice zake katika maisha na wala siyo shida ya akili.