Wazungu wanamtaka mwanangu!!

Kuhusu maslahi yake ya baadaye nakubalina na wewe wape tu washikaji. Mikataba muhimu sana usije ukajuta baadaye.
 
yap, this is true .hao jamaa kama wana claim wana academy ubaloz wao utakuwa unajua so fuatilia kwa uhakika ujiridhishe mkuu. maisha ni popote jitahid kwenda kiubaba zaid na kisheria kwa sanaaaa. Mengine yatajileta
 
Wakurya bwana! Kumbe ngumi ziko ktk damu. Iko siku hata baba yake atapigwa ngumi! Amang'ana gasarikile tata! Strike the hammer while iron is still hot!
Hivi huu ulimbukeni wa ukabila unawapa faida gani??? Kumbe kina Matumla wote, Cheka, Tyson, Evander,Mayweather na wanamasumbwi wengineo ni Wakurya?! Shame on you all wagonjwa wa ukabila.
 

Wewe mzazi, mwanao is a minor tena kabisa. Wana haki ya shule na mambo mengine ili wakuwa kama watoto wasije wakawa kama malezi ya marehemu Michael Jakson na baba yake.

Pili wewe ni mzazi na mtoto kuwa na tabia ambazo si zake solution si kumpeleka kwa bibi. Yaani mama yako akuzae wewe akulee hadi uwe na mji wako halafu leo hii unampelekea mzigo wa mtoto mtukutu? Usikwepe majikumu. Ishi na mwanao ili uweze kumfahamu vyema na kumpa malezi. Mama yake ndiye mwenye uchungu naye!!!

Huko aliko anasoma? Na kama anasoma ni shule gani na ubora upi wa elimu? Usipoangalia utampoteza huyu mtoto. Tena mtoto mtukutu anatakiwa aishi na wazazi maana ndiyo wanatakiwa wamvumilie na wana upendo wa dhati kuliko uncle or grands or aunt.

Masuala ya ngumi, achana nayo, kamchuku mtuto, mpe counselling asome shule nzuri na akifikia 18 yrs ataamua the best na wazungu wamchukue na si kwa sasa.

Du nimechoka. Malezi mengine ya familia ni magumu sana.
 

Mkuu mandieta, Vipi dogo alishaenda Holland? Kama bado je anaendeleaje kwasasa akiwa na 11yrs? Tupe mrejesho kaka!
CC: Mwana kinyonga ; dandabo; Zogwale; kazikubwa
 
Kaka katika kukusoma nimeona umejijali mwenyewe kwanza Kabla ya mwanao umefikiria mengi kuhusu wewe mwenyewe kuliko mwanao, Mie nakushauri 1.mwanao hakikisha elimu yake nzuri Hiyo ngumi iwe Kama hobby tu kwake ya kujiendeleza jioni ili mumkwepeshe kwenye mabalaa ya kupiga wenzake mtaani. 2 Mtoto bado mdogo so usimsifie kuhusu kupiga wenzake mfahamishe lipi baya na lipi Zuri na kusikia mwanao anapiga watoto wa watu kwa sifa si nzuri uzuri ni kuona kipaji mpe kipaji ila Elimu usimtupie mbali mwanao. 3. mama naye ni mzazi kaa naye vizuri naye sikiliza ushauri wake naye mpe ushauri kwa maisha ya mwanao yawe vipi Mbele. 4.Kaka chunguza au yafuta watanzania wanaoishi Holland wakuchunguzie hao watu wa Boxing ni kweli na miakataba ichunguzwe na Wanasheria na balozi ya tanzania huko Holland. 5. tanzania pia chama cha ngumi na michezo wakuchunguzie Kabla hujamtoa mwanao ukaanzisha Mada jamiiforum ya namtafuta mwanangu. kaka dunia sio mbaya au Tambara bovu ila wanadamu ndio wabaya Kabla ya kufurahisha roho yako kaa chini fikiria future ya mwanao Mfano West Africa Wazee wengi wamepoteza watoto wao nje kwa ma Agency waongo wampira wa miguu. human Traffic ni kubwa so Elimu na Nizamu kwa mwanao muhimu na fikiria pia watoto anowapiga mtaani fanya Kama wako pia Boxing muendeleze ila mtengeneza awe na heshima pia la sivyo hata maisha yake yaBoxing yatakwenda vibaya nakutakia kila la kheri na mwanao Kaka najua unampenda mwanao ndoma ukaomba ushauri namalizia usifikirie nafasi ya mwanao itapotea fikiria pia usije kumpoteza mwanao.
 
Hata mama Hasheem alimkabidhi mwanae kwa Wakenya sasa anakula bata tu. Nawewe mkabidhi
 
Nilikuwa sijatizama hii Kumbe ni yatoka mwaka 2012 ? Nilijua mada ya huu mwaka hata Mie ningependa kujua kafikia wapi Dogo ?

Hopefully, kwavile mandieta bado yupo basi sasa atakumbuka kutupa mrejesho ili jamvi lijue....
 
mmhhh... kuna harufu ya wizi... kuwa makini mkuu.
 
tumia kiswahili tu. sema mwanangu/mtoto wangu. my soon ndo nini? na wewe ulikimbia shule kwa sabau ipi?at least mwanao ngumi. wewe nini?mademu? soon= son

 
Mhhh inatisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…