Wazungu wawavalisha wanaume wa Kenya sketi huko jijini Nairobi

Adolf Hitler Jr

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2016
Posts
340
Reaction score
263
Hii ilifanywa kusherekea wiki ya huduma kwa wateja.
My take :
Hawa majirani zetu yaelekea kwao lolote asemalo mzungu ni jambo jema.
 

Attachments

  • 20181005_092238.png
    635 KB · Views: 26
  • 20181005_092307.png
    688.5 KB · Views: 24
Tayari yameshakuwa.
Tusubirie tu kupata taarifa zao.

Wanacho-promote kitaleta matunda kwao.
 
Nshawaonya sana vijana wa kikenya kupenda slope sasa mmeamua kuweka marinda na utu wenu rehani kwa tamaa ya kitu kidogo
 
Tanzanians stop bullshit here this is just a one day occasion Mzungu ameingilia wapi here?
Hamna cha mzungu wala nini. Naskia walikuwa wanaadhimisha siku ya masuala ya afya ya wanawake. Mbinu waliyoitumia naipa NO kubwa. Huu upuuzi siwezi ukubali, yaani waliamka asubuhi wakaenda kazini kuvalia nguo za kike? Wanafanana na yale mascare crow ya kuzuia uvamizi wa wanyama mashambani.
 
Thnx comrade ,umetambua hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…