Wazuri hawafi " Mapema" maana yake nini?

Wazuri hawafi " Mapema" maana yake nini?

Bubu Msemaovyo

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2007
Posts
4,120
Reaction score
3,468
Mzee Makamba siyo utelezi ni kusudi kabisa kwasababu kama ni utelezi mbona kuna kauli uliirekebisha papo hapo.

" Wazuri hawafi mapema, ndiyo maana Kikwete yupo, Kinana yupo"

MADA

" WAZURI HAWAFI MAPEMA"
Kumbe hawa waliokufa walikufa mapema yaani kabla ya muda wao. Kama ilikuwa ni kwasababu ya emotion angerekebisha kauli yake yeye mwenyewe lakini aliamua liwalo na liwe. Hii kitu imekaa vibaya.
 
Maana yake wenye roho mbaya wanakufa mapema.
 
Mzee Makamba amejichanganya kwenye huo usemi!

Siku zote wazuri/wema ndiyo hufa mapema!
 
Mzee Makamba siyo utelezi ni kusudi kabisa kwasababu kama ni utelezi mbona kuna kauli uliirekebisha papo hapo.

" Wazuri hawafi mapema, ndiyo maana Kikwete yupo, Kinana yupo"

MADA

" WAZURI HAWAFI MAPEMA"
Kumbe hawa waliokufa walikufa mapema yaani kabla ya muda wao. Kama ilikuwa ni kwasababu ya emotion angerekebisha kauli yake yeye mwenyewe lakini aliamua liwalo na liwe. Hii kitu imekaa vibaya.
Maana yake yesu na muhamadi ni wahuni tu maana wote awakufikia uzee
 
Huo ni mkwara kwa bi mdashi na yy kashindwa kujizuia kamjibu, walioko jikoni watakuwa wanaelewa zaidi
 
Mzee Makamba siyo utelezi ni kusudi kabisa kwasababu kama ni utelezi mbona kuna kauli uliirekebisha papo hapo.

" Wazuri hawafi mapema, ndiyo maana Kikwete yupo, Kinana yupo"

MADA

" WAZURI HAWAFI MAPEMA"
Kumbe hawa waliokufa walikufa mapema yaani kabla ya muda wao. Kama ilikuwa ni kwasababu ya emotion angerekebisha kauli yake yeye mwenyewe lakini aliamua liwalo na liwe. Hii kitu imekaa vibaya.
Ogopa kuhusika kutoa uhai wa mtu utakuja ropoka vyote swala la muda Tu...
 
Back
Top Bottom