WCB Battle: Ray vanny, Rich mavoko, Harmonise nani mkali zaidi?

Tuende katika mada. Mambo ya ukongwe hamna hapa.
Kwa upande wangu Harmonize ndio yupo juu. Rayvanny nyimbo zake zinafanana
 
Pacha wangu na Ibaki story ni ngoma kali sana kuliko hizo ulizozitaja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…