Walikuwa mahakamani na Mwijaku!
Kwani ule msiba ulikuwa roll call asiyekuwepo si Mtanzania?
Tale alikuwepo kuwakilisha Familia ya WCBLeo jumatano ya tarehe 29 July 2020 watz tumemzika rais mstaafu wa awamu ya 3 Hayati BW Mkapa.
Lakini wanamuziki kutoka Label ya WCB hawajaonekana kokote, either Masaki kwenye makazi ya Marehemu DSM, uwanja wa taifa kwenye kuaga mwili au hata kwenye mazishi Lupaso Mtwara.
Je nini tatizo?
Duh balaaKwani ule msiba ulikuwa roll call asiyekuwepo si Mtanzania?
Ok, Mwijaku mgombea ubunge wa CCM jimbo la Kawe....Walikuwa mahakamani na Mwijaku!