Ray model
JF-Expert Member
- Jul 27, 2018
- 207
- 185
Sijui ni kwanini wcb wanachukua magenious wa muziki coz ukiangalia safu yote pale wanajua mziki
Nimeangalia list nzima pale hakuna mbovu hata mmoja
Nimeangalia
Diamond
Harmonize
Mbosso
Iamlavalava
Rayvan
Queen darling
Gigy money
Na wengine wote.
Kiufupi ni kuwa wcb imejaa watu wenye talent zao kuna watu humu wanadai wcb bado mimi nawaambia waachane na logo kubwa kama wcb
Ni wasanii gani hapa tz au team kiba wanaoweza kuwafikia wcb??
Jibu ni hapana kuna wasanii wengi sana wanajua mziki kama kina aslay, nandy, vanessa mdee, jux n.k ila wcb wanajua jamani khaaa unashindia mihogo halafu unawananga wcb kwamba hawajui mziki wakati huyo boss wenu sijui team yenu hata show ya milioni moja hapati wakati wenzenu wcb show ni milioni kumi panda juu.
Angalia mziki kwa sasa wasanii wanaotrend kwenye top huwez kosa kadhaa kutoka wcb
Siwapigii promo bt nawashangaa mtu anakuja na post eti wcb hamna wasanii wakati nyimbo zao umejaza kwenye simu
Wabongo bhana!!!!!!!!
Nimeangalia list nzima pale hakuna mbovu hata mmoja
Nimeangalia
Diamond
Harmonize
Mbosso
Iamlavalava
Rayvan
Queen darling
Gigy money
Na wengine wote.
Kiufupi ni kuwa wcb imejaa watu wenye talent zao kuna watu humu wanadai wcb bado mimi nawaambia waachane na logo kubwa kama wcb
Ni wasanii gani hapa tz au team kiba wanaoweza kuwafikia wcb??
Jibu ni hapana kuna wasanii wengi sana wanajua mziki kama kina aslay, nandy, vanessa mdee, jux n.k ila wcb wanajua jamani khaaa unashindia mihogo halafu unawananga wcb kwamba hawajui mziki wakati huyo boss wenu sijui team yenu hata show ya milioni moja hapati wakati wenzenu wcb show ni milioni kumi panda juu.
Angalia mziki kwa sasa wasanii wanaotrend kwenye top huwez kosa kadhaa kutoka wcb
Siwapigii promo bt nawashangaa mtu anakuja na post eti wcb hamna wasanii wakati nyimbo zao umejaza kwenye simu
Wabongo bhana!!!!!!!!