WCB hawasikikí, je ni woga wa kushindwa kupenya kwenye huu ushindani wa sasa?

WCB hawasikikí, je ni woga wa kushindwa kupenya kwenye huu ushindani wa sasa?

Ni swala ambalo liko wazi kwamba kwa sasa hakuna kokoro, wala kijuso kwny raman ya bongofleva, inaweza kuwa kweli kwamba diamond anasubiri game lipoe kwanza ndo awaruhusu vijana wake kutoa kazi ama vipi, maoni yenu wadau
Ndugu unajua music market? Ngoja nikuambie kitu, mwezi wa kwanza mpaka wa tatu sio mzuri sana kibiashara ya muziki, almost biashara zote zinapata tabu kipindi hiki sio mziki tu, na kuachia nyimbo kuna uwekezaji kwenye suala la promotion. Kila kitu ni mahesabu labda ungetoa mifano ya wasanii waliotoa nyimbo kipindi hiki, ni wa kuhesabika.
 
Ni swala ambalo liko wazi kwamba kwa sasa hakuna kokoro, wala kijuso kwny raman ya bongofleva, inaweza kuwa kweli kwamba diamond anasubiri game lipoe kwanza ndo awaruhusu vijana wake kutoa kazi ama vipi, maoni yenu wadau
Ndo hivo so WCB tu ata wasanii wengine kama Ali kiba anasubil kupoe
 
Ndugu unajua music market? Ngoja nikuambie kitu, mwezi wa kwanza mpaka wa tatu sio mzuri sana kibiashara ya muziki, almost biashara zote zinapata tabu kipindi hiki sio mziki tu, na kuachia nyimbo kuna uwekezaji kwenye suala la promotion. Kila kitu ni mahesabu labda ungetoa mifano ya wasanii waliotoa nyimbo kipindi hiki, ni wa kuhesabika.
Umeongea kitu cha msingi sana.
 
Wabongo bhana wakitoa nyimbo utasikia Hawa WCB kila Sikh wanatoa nyimbo hawapeani nafasi wanazoeleka
Sasahivi hawajatoa nyimbo muda kidogo tayari mmeanza WCB hawatoi nyimbo wanaogopa yaani hamueleweki
 
Hiyo ndio ishatoka Hiyo.

Siku hizi wanatafuta Kiki za kuita wenzao nyani.
 
Back
Top Bottom