WCB Label Wanawahitaji CLOUDS MEDIA kuliko hata Wcb wanavyowahitaji Babu tale na Sallam sk

We ndo Umenielewa mkuu na umeongea kitu kikubwa sana,. Tatizo la wabongo ni Uteam

Mi sijataja Msanii yoyote wa nje ya wcb kwenye mada yangu mtu anakuja anakurupuka, sijui ali kiba sijui aslay
 
Uelewa wako wa kuelewa na kuchanganua mambo ni Mdogo sana.. Mi simuongelei boss wenu nawaomgelea hawa madogo walioko chini ya label yake.

Ebu weka hapa Ratiba ya show za Rayvann, mboso na Lavalava

Ratiba ya show ndio kwanza mwanzo wa mwaka,mimi nimeongelea achievement walizozipata WCB kwa mwaka 2019.So kwa achievement walizozipata hawahitaji msaada WA HAO UNAO WAONA WEWE WA MAANA.
 
WANGEKUA HAWANA BIFU NA MEDIA KUBWA UNGEKUTA WAPO MBALI KULIKO HAPO, SASA KWAKUA WABONGO TUNARIDHIKA MAPEMA NA MAFANIKIO KIDOGO NA SIFA ZA MTAANI TUNAJIONA TUMESHAFIKIA KILELE CHA MAFANIKIO KUMBE BADO TUNA SAFARI NDEFU, KWA NJIA HII NA MAMBO YA KUENDEKEZA U TIMU TUTACHELEWA SANA KUONA WASANII WETU WAKIFANIKIWA. NDIO SABABU WENZETU WANAIGERIA WANAZIDI KUFANIKIWA NA SISI TUNABAKI NA MABIFU.
HARMONIZE MWENYEWE SIKU AMETOKA WCB ALISEMA ROHO YAKE INAMUUMA SANA KUONA NYIMBO ZAO HAZICHEZWI BAADHI YA MEDIA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pia kumbuka hata huyo Diamond kufika hapo ni Nguvu ya hizo media hasa Clouds na ruge..

Mboso uwezo wake ulikua unajulika toka akiwa Ya moto band, Huyo Lavalava ni hasara kwenye Label ni Msanii mdogo sana hata uwezo wake pia ni mdogo
 
Ok Weka za huo mwaka uliopita
Ratiba ya show ndio kwanza mwanzo wa mwaka,mimi nimeongelea achievement walizozipata WCB kwa mwaka 2019.So kwa achievement walizozipata hawahitaji msaada WA HAO UNAO WAONA WEWE WA MAANA.
 
Na me nakuuliza mbona hao wasanii wanaopigwa ngoma zao na clouds mbona wameshindwa kufika mafanikio ya WCB?
 
Na me nakuuliza mbona hao wasanii wanaopigwa ngoma zao na clouds mbona wameshindwa kufika mafanikio ya WCB?
Mafanikio yapi ya hao wasanii waliopo chini ya label ya Wcb

Rayvanny
Mboso
Lavalava

ebu yataje mkuu,. We ni bingwa wa kutoka nje ya mada kukimbia kumuongelea diamond kuliko hata wasanii walio sain kwenye Label
 
Mbona huyo Harmonize sasa hiv ngoma zake zinapigwa clouds lakini hazifanyi vizuri kulinganishwa na kipindi yupo WCB?
 
Ok Weka za huo mwaka uliopita
Najua wewe hater huwezi ukaona.Rayvanny mwaka jana ndio msanii wa kwanza ambaye ratiba yake ilitoka,alikuwa na show europe kama 8 kuanzia march mpaka may,baada ya Tetema kuhit akapata mialika mikubwa miwili ktk matamasha ya Essence US na Afro nation Portugal (ktk list alikuwepo steflon don) na kuna show nyingine alizipata Kenya sababu ya Tetema.

Afro Nation.

Mbosso sikumbuki ratiba ila kwa mwaka wa 2019 mwezi wa 12 alipiga show tatu ktk nchi tatu tofauti Comoro,Mayyote na Kenya.Ila alikuwa na show nyingi Kenya na hasa Mombasa,Kisumu kama sikosei na Lamu.

Msanii ambaye hakuwa na show nyingi Lavalava.

Alafu wao mnaumia WCB ambao wamesimama kutopigwa na vyombo hivyo,mbona hamuumii kwa akina RAMA D,Lady Jay Dee ambao hawapigwi nao.
 
Sijaona hiyo rist ya ratiba zaidi ya Maneno tu,. Kuna wasanii wengi tu hapa bongo wamepiga show nje kwa uganda na kenya wengi wanapiga show tena bila show off
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…