Randy orton
JF-Expert Member
- Apr 29, 2019
- 1,338
- 3,561
Diamond analalamika watu hawana shukrani wakati huo huo yeye aliwekeza na amepata faida kwa uwekezaji wake, hizo shukrani anazitaka za kazi gani!.
Rayvanny na Harmonize wanalalamika walikuwa wananyonywa wakati wanajua sana watu wamewekeza mamilioni kuwabrand na lazima waliowekeza wapate faida kwa uwekezaji walioufanya!!
Ifike kipindi hii mentality ya kijinga ya kulalamika uonewe huruma kwenye dunia ya ubepari ifike mwisho , WCB walipata na wasanii wao walipata sasa naona wote wanaogombania kuhurumiwa, upuuzi kabisa.
Wajaribu waone mikataba ya label kubwa duniani, unakuta msanii ni mkubwa lakini kazi zake zinamilikiwa na Sony Music na wala halalamiki ananyonywa kwa sababu anajua amefanya biashara na wakati huo huo hausikii Sony Music wakiomba shukrani kutoka kwa mtu kwa sababu wamefanya biashara.
2pac mpaka kufa kwake alikuwa amesaini mkataba kazi zake kumilikiwa na deathrow, Sony Music ndio kabisa wanamiliki hatimiliki za malegend wakubwa duniani ila hapa bongo sio label sio wasanii wote wanalalamika hovyo tu ili waonewe huruma.
Rayvanny na Harmonize wanalalamika walikuwa wananyonywa wakati wanajua sana watu wamewekeza mamilioni kuwabrand na lazima waliowekeza wapate faida kwa uwekezaji walioufanya!!
Ifike kipindi hii mentality ya kijinga ya kulalamika uonewe huruma kwenye dunia ya ubepari ifike mwisho , WCB walipata na wasanii wao walipata sasa naona wote wanaogombania kuhurumiwa, upuuzi kabisa.
Wajaribu waone mikataba ya label kubwa duniani, unakuta msanii ni mkubwa lakini kazi zake zinamilikiwa na Sony Music na wala halalamiki ananyonywa kwa sababu anajua amefanya biashara na wakati huo huo hausikii Sony Music wakiomba shukrani kutoka kwa mtu kwa sababu wamefanya biashara.
2pac mpaka kufa kwake alikuwa amesaini mkataba kazi zake kumilikiwa na deathrow, Sony Music ndio kabisa wanamiliki hatimiliki za malegend wakubwa duniani ila hapa bongo sio label sio wasanii wote wanalalamika hovyo tu ili waonewe huruma.