WCB Wasafi Nzima Wameng'ara Kwenye Tuzo Za Aeausa-Marekani Pamoja Na Zarithebosslady

Namkubali sana MaVoKo na Rayvany kiuimbaji good God bless them
 
Wewe ndo hujui chochote,umeanza kuijua mitandao baada ya mchina kuanza kutengeneza smart phone.Huyu Zari namfahamu tokea enzi za Hi5.
Ungekuwa unamjua Zari usingekuwa unaongea upupu wote huo.

Tena nina wasiwasi umeanza kumjua zari baada ya kutoka na Diamond.
 
ahahaaaa nimecheka sana.mke wa sangoma .hela za utapeli wa mume sasa hivi hazipo hadi nyumba inauzwa uganda huko.duka la viatu lilishafilisika kitambo alishindwa hadi kulipa kodi. yaani sasa hivi kabaki na diamond tu
 
Tuzo za kipuuzi hizo.

How come legend Mavoko waseme ni New Artist?
 
Na kweli anaishi kwa kushow off insta. Kila siku kupiga picha offisini, Ashukuru Mungu Ivan kafa, la sivyo picha za ofisini angezisikia tu.
toka akose hela ya kumtoa mamake hosptal m55 za uganda ambazo bongo ni kama m 25 nimeona yule dada muongo aisee eti alitoa m 3
 
toka akose hela ya kumtoa mamake hosptal m55 za uganda ambazo bongo ni kama m 25 nimeona yule dada muongo aisee eti alitoa m 3
Ndo maana kamganda Diamond kwa hali zote, tusubiri mtoto wa Hamisa akizaliwa, maana ni kama zari anawekewa usiku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…