Nedago
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 908
- 1,350
Habari ndugu wadau wa Jf,
Nikiwa napitia mitandao mbalimbali Jana
Nikaona tangazo la wasafi festival litakalo fanyika huko nchini Oman,mwezi wa nne.
Kwakweli nikafurahi kuona vijana hawa wa kitanzania wanavyojituma kutangaza muziki wetu wa bongo fleva kimataifa, tangu waanzishe hili Tamasha la wasafi festival mwaka Jana,
Tuliona jinsi lilivyotia fora ndani ya nchi kote lilikofanyika na hata katika nchi ya Kenya na bado hawajapoa wanazidi kulitanua hadi uko mashariki nk,wanafaa kuungwa mkono kwa hili,
Japo kuna watu wasioelewa watasema ni kwa maslahi yao,bila kujua ni hatua ya kusambaza muziki kuiacha kipato wanachoingiza,nimeona pia navy Kenzo wamekaribishwa kwenye festival hiyo ya wasafi huko Oman.
Hili ni funzo kwa lebo nyingine za muziki hapa nchini kujipanga na kuimarisha management zao na wasanii wao kufikia levo waliyoifikia wasafi na kuaanda matamasha makubwa zaidi ndani ya nchi ili kuongeza ushindani ndani ya nchi na hatimaye watoke nje Kama wasafi.
Maana Kama wakiachiwa wasafi tu, siku wasafi wakiteteleka na kupotea inaweza kuchukua muda tz kupata lebo kubwa Kama hii kimataifa especially Africa,maana kwasasa ni Kati ya lebo bora za kiafrika kutoka East Africa kwasasa.
Lazima wasanii wajifunze na wajipange kuwachallenge WCB wasafi wasiachwe peke yao,yasije kutokea ya kanumba na bongo muvi kimataifa.
Narudia tena lazima wasanii waache ubinafsi na kuongeza teamwork,lasivyo wataishia kupiga shoo za club tu na fiesta,na kuwaacha wasafi wakitamba ndani na nje,maana wasafi wao kila wiki wanapishana airport wao kwa wao,
Angalau na navy Kenzo na Vanessa.
The Future is in Our Brain's Tongue's and Hand's.
Nikiwa napitia mitandao mbalimbali Jana
Nikaona tangazo la wasafi festival litakalo fanyika huko nchini Oman,mwezi wa nne.
Kwakweli nikafurahi kuona vijana hawa wa kitanzania wanavyojituma kutangaza muziki wetu wa bongo fleva kimataifa, tangu waanzishe hili Tamasha la wasafi festival mwaka Jana,
Tuliona jinsi lilivyotia fora ndani ya nchi kote lilikofanyika na hata katika nchi ya Kenya na bado hawajapoa wanazidi kulitanua hadi uko mashariki nk,wanafaa kuungwa mkono kwa hili,
Japo kuna watu wasioelewa watasema ni kwa maslahi yao,bila kujua ni hatua ya kusambaza muziki kuiacha kipato wanachoingiza,nimeona pia navy Kenzo wamekaribishwa kwenye festival hiyo ya wasafi huko Oman.
Hili ni funzo kwa lebo nyingine za muziki hapa nchini kujipanga na kuimarisha management zao na wasanii wao kufikia levo waliyoifikia wasafi na kuaanda matamasha makubwa zaidi ndani ya nchi ili kuongeza ushindani ndani ya nchi na hatimaye watoke nje Kama wasafi.
Maana Kama wakiachiwa wasafi tu, siku wasafi wakiteteleka na kupotea inaweza kuchukua muda tz kupata lebo kubwa Kama hii kimataifa especially Africa,maana kwasasa ni Kati ya lebo bora za kiafrika kutoka East Africa kwasasa.
Lazima wasanii wajifunze na wajipange kuwachallenge WCB wasafi wasiachwe peke yao,yasije kutokea ya kanumba na bongo muvi kimataifa.
Narudia tena lazima wasanii waache ubinafsi na kuongeza teamwork,lasivyo wataishia kupiga shoo za club tu na fiesta,na kuwaacha wasafi wakitamba ndani na nje,maana wasafi wao kila wiki wanapishana airport wao kwa wao,
Angalau na navy Kenzo na Vanessa.
The Future is in Our Brain's Tongue's and Hand's.