sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Habari za kunyapia zinasema kuwa usiku wa jana damu imemwagika. Baada ya vijana wa Wcb kuwapa kichapo cha mbwa mwizi wambea wa Silawadu sudi brown na kwisa mzee mkavu.
Inasemekana sudi brown kabaki na mapengo awezi tena kutamka Shilawadu
Chazo ni shilawadu kufatilia ishu za wcb.
mambo ni motoooooooo
Inasemekana sudi brown kabaki na mapengo awezi tena kutamka Shilawadu
Chazo ni shilawadu kufatilia ishu za wcb.
mambo ni motoooooooo