Hasson Da Melles
Member
- Aug 11, 2012
- 76
- 3
Chuo gan hiko matibabu 100,000?au ndo mnatisha wa2 2.
unashangaa 100,000 nadhani hao anglau josia kibira 200,000 na vyuo kibao hela iko juu cha kwangu 150,000 hivyo kweli kujipanga ndo mpango ila wengine hata tempo hatukupata sa hiyo ya kujipanga kali ndo unakuta madada wazuri wanageuka madada poa eti kujipanga ebu tumwombe mungu huyu jamaa yetu heslb afunguke la sivyo mambo......!