We are the other people

thats the most natural food for humans,if i wont how will i survive?

I just want to know, is killing trees okay to you? What is the difference between the two killing " Tree and Animals? Is there life in trees?
 

God created "MAN" first in chapter One of Genesis. In chapter two of Genesis, Adam is formed. Go and figure out. Why the first Man was called ADAM. It seems you don't know that.

What is "ADAMA"?

is a name given to your grandfather
 
tell me then! if you counter my points you better come up with an answer and not questions only

There is no any constructive points in your thread, inter-alia, there are "a looooot" of unanswerable questions to you.
 
I just want to know, is killing trees okay to you? What is the difference between the two killing " Tree and Animals? Is there life in trees?

it is not ok to kill trees, but human food comes from the tree, so to cut a portion of it for the purpose of eating its fruits is ok!
 
it is not ok to kill trees, but human food comes from the tree, so to cut a portion of it for the purpose of eating its fruits is ok!

So, to you, cutting a portion of an animal, example, a leg, and eat it, it is okay, as along the animal is alive, is that what you are trying to preach here?
 
There is no any constructive points in your thread, inter-alia, there are "a looooot" of unanswerable questions to you.

yeah its better if you have the answers for us to read,coz what i understood is what i analysed
please my brother i am now curious to read your constructive points lol
 
yeah its better if you have the answers for us to read,coz what i understood is what i analysed
please my brother i am now curious to read your constructive points lol


The words in BLUE ARE LIES. Out of context.
 
it is not ok to kill trees, but human food comes from the tree, so to cut a portion of it for the purpose of eating its fruits is ok!

Kwa kutumia barks from a tree inawezekana without killing the same tree, ila kwa animal's skin sijui ni mnyama gani utamchuna ngozi bila kumuua labla nyoka ambaye we are told alilaaniwa.
 
Kwa kutumia barks from a tree inawezekana without killing the same tree, ila kwa animal's skin sijui ni mnyama gani utamchuna ngozi bila kumuua labla nyoka ambaye we are told alilaaniwa.

ukiangalia hata sisi waafrika tulikua hatuna ishu za kuvaavaa mabaibui au makanzu,tumekuja kuletewa na hawa watu tulikua tunaziba kiainia tu kujikinga na vumbi,utambulisho, vitu vingine vidogodogo na kuonekana mtanashati tu ila tulikua tunatembea dhakari zinaninginia nje
 
The God your talking about must be supporting the killings or else he could have chose barks from the tree

mkuu MUNGU alisema kuwa siku mtakayo kula matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya hakika mtakufa lakini baada ya adamu na hawa kuasi na kwa sababu aliwapenda sana sana sana adamu na hawa ilibidi kiumbe mwingine atolewe kafara badala yao ndo mana unaona kuna mnyama alikufa na alikufa kwa si sababu adamu na hawa walikuwa wanahitaji ngozi tu lakini pia alikufa kwa sababu dhambi ilikuwa imeshatendeka na kifo ilikuwa ni lazima kitokee only that mnyama alikufa badala yao.hivyo MUNGU hakudanganya hata kidogo.maandiko yanasema hapa ndipo adam alishuhudia kifo kwa mara ya kwanza na ilimuuma sana sana moyoni kuona mnyama anakufa na alijutia kosa lake kila alipokuwa akiitazama ile ngozi aliyovikwa iliyotokana na kifo cha mnyama.na utaratibu huu wa kutoa wanyama kafara kwa ajili ya msamaha wa dhambi yako ndipo ulianzia hapa na ulikoma pale ambapo yesu alipokufa badala yetu na ndo mana tunaenda kwake kwa msamaha wa dhambi
 
Hoja yako mleta mada inaleta changamoto ila kwa mtu mwenye akili nyepesi atapepeswa na kuhadaika. Ni kweli Mungu aliwapendelea kizazi cha Adam na Hawa (ambao bila shaka ndio wana wa Israeli). Bahati mbaya hawakuwa na ufahamu wa kutambua kwamba Mungu wao aliwapenda na aliwaandaa. Sijui kwa nini aliwaandaa hao na kuwasusa wengine. Mwisho wa siku Mungu alikiri kuwa wana wa Israel hawabebeki. Kupitia Yesu Kristo, Mungu alihamishia mapenzi yake kwa mataifa (nadhani ndio wapagani).

Yesu anasema hivi katika Yohana 17: 1-12. Soma vyema.
Paulo pia anaongea na wapagani kupitia warumi kwamba, wasijishaue kwamba hawamjui Mungu. Walipewa fursa ya kuwa karibu na Mungu wakakataa. Soma Rumi 1: 18-32.
Kama haitoshi, Paulo ana siri nzito kwa waefeso kwamba mataifa ni warithi pamoja na wana wa Israeli (efeso 3: 1-13).
kila mtu anaWeza kuitumia biblia kwa manufaa yake kwa kuwa tumepewa utashi wa kuchagua mema na mabaya.
 

Good ideas,wakati wa kuamini bila kuhoji umekwisha,
Nilipokuwa nasoma shule moja yakidin,nilikuwa nikiuliza maswal magum wananijibu kuwa hiyo ni DOGMA yaan amini bila kuuliza.Zaidi ya hapo walinitishia kunifukuza,
 

Mungu yupi huyo aliyehamishia mapenzi kwa Mataifa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…