Hadi P unaunga mkono hoja? Ila nakumbuka bandiko lako la kuwasihi watawala maana hawana sifa ya kuitwa viongozi na vyombo vya dola kuruhusu maandamano! Nalo limesikiwa na hakuna madhara yoyote na yameisha salama! Hongera mkuu! Ila Alfajiri hii unawahi Misa ya kwanza au? Just kiddingNaunga mkono hoja
P
Na hutaelewa sababu kuna upande ambao umechagua kufikiria! Matamanio yako hayajitimia kisa tu watu flani wataandamana ukajawa na chuki ukaunyima ubongo wako nafasi ya kufuatilia nini hasa dhamira au takwa la maandamano husika! Ndio mana unakuja na rhetoric questions kama hiiMimi mpaka leo dijaelewa, hayo maandamano yalihusu nini?
Ukiwa mtu wa kutoamini sana utaishi kwa kuchagua ambayo hukupaswa kuchaguaMwanasiasa sio mtu wa kumuamini hata siku moja.
Kwa utulivu wa haya maandamano wala sitostaajabu ikiwa yameratibiwa na CCM kuonyesha kuna demokrasia.
Mbowe keshakunja mtonyo wake kazuga kupeleka watoto mbele.
Tanzania hakuna upinzani vyama vyote ni matawi ya CCM na viongoz wa upinzani wote ni vibaraka wa CCM.
Kuelewa nako kunahitaji kufikiri?Na hutaelewa sababu kuna upande ambao umechagua kufikiria! Matamanio yako hayajitimia kisa tu watu flani wataandamana ukajawa na chuki ukaunyima ubongo wako nafasi ya kufuatilia nini hasa dhamira au takwa la maandamano husika! Ndio mana unakuja na rhetoric questions kama hii
Mkuu, hukati tamaa tuu? Usiwe kigeugeu.Mwanasiasa sio mtu wa kumuamini hata siku moja.
Kwa utulivu wa haya maandamano wala sitostaajabu ikiwa yameratibiwa na CCM kuonyesha kuna demokrasia.
Mbowe keshakunja mtonyo wake kazuga kupeleka watoto mbele.
Tanzania hakuna upinzani vyama vyote ni matawi ya CCM na viongoz wa upinzani wote ni vibaraka wa CCM.
Naam bila kuhusisha sehemu ya kufikiri huwezi kuelewa. Unapokua hujafikiri unakua umejijaza maarifa yasiyo sahihi kuhusu jambo husika. Na huo ndio ujinga and that is what you have now! Ndio maana umeuliza swali la kijingaKuelewa nako kunahitaji kufikiri?
Au kujazwa ujinga?
Thinking is an essential process for humans. It allows us to solve problems, learn new information, understand concepts, and process our experiences. Thinking involves the entire process of learning, remembering, and organizing mentally to understand the information better and recall it later.Kuelewa nako kunahitaji kufikiri?
Au kujazwa ujinga?
to be honest ni aibu mtu nzima kama wewe kuishi nyumbani kwa wazazi inasikitisha sana,Unajiskiaje lakini baada ya kukesha kwenye key boards na negativity juu ya public demonstration ? Be honest
Tatizo kubwa la wabongo ni kutaka kila mtu aamini unachoamini wewe.Angalia usije kujinyea...unaota bila shaka
Tatizo kubwa la wabongo ni kutaka kila mtu aamini unachoamini wewe.Kanywe sumu mheshimiwa unateseka ukiwa wapi?
Fanyeni kazi porojo haziwezi wasaidiaHumu jamvini kimya ; unajua kwanini? Chadema wamecheza kama Pele katika angle zote
1. Viongozi wakuu wote wameshiriki akiwemo Lisu tuliyeambiwa ana ugomvi na Mbowe
2. Tuliambiwa watoto wao nao washiriki maandamo; Mbowe kuchukua watoto wote kuwapeleka front
3. Tuliambiwa maandamano ni vurugu,hakuna vurugu mwanzo mwisho.
4. Tuliambiwa wanaoandamana wanafikiri kwa kutumia nyayo; polisi na mkuu wa Mkoa wameandamana kila mmoja kwa njia yake sambamba na waandishi wa habari sidhani kama Nchimbi anaamini jeshi la polisi wanatumia nyayo kufikiri wala wana habari
5. Tuliambiwa maandamano yanalenga kupambana na SSH, maandamano yamejikita kwenye kero za wananchi.
6. Tuliambiwa maandamano hayaleti msosi mezani; wanasiasa wameona mabango yanavyoreflect maisha ya wapiga kura. Wapo busy kutatua kero ikiwemo kushusha bei ya sukari ambayo kabla ya kusikia maandamano hakukuwa hata na kauli ya bei elekezi
7. Tukaambiwa Watanzania hawataki maandamano, wenye dola wameona mwitikio ulivyokuwa mkubwa. Wametambua Watanzania wanaelewa wanataka nini.
8. Tukaambiwa na viongozi, wakae kwenye mazungumzo. Natumai wameona mazungumzo ya umma yalivyo na nguvu kuliko mazungumzo ya siri ya wanasiasa
9. Tukaambiwa polisi watafanya usafi, RC kaishia kufanya yeye usafi polisi wamemkataa
10. Tukaambiwa ni utekelezaji wa 4R, umma unasema hakuna 4R za mashinikizo . 4r ni kuruhusu mifumo ya sheria ifumuliwe tuache kuvumiliana na kuheshimiana kwa nguvu ya dola tuheshimiane kwa kuzingatia katiba na sheria.
CDM walisukuma, Mama akasimamia msimamo wake hivyo polisi wakapewa maelekezo. Lango likafunguka, maandamano ya amani yakafanyika. Ukurasa mpya umefunguliwa. Wabaya wa cdm wameingia kazini kimsingi CDM wamefanya kazi nzuri, mapambano yaendelee. Porojo lukuki zimehadhirishwa kuwa uongo na utumizi wa vyombo vya dola vibaya umedhihirika. Je bunge linasimia wapi, wana mioyo ya kwenda na 4R au ndio basi tena.?Humu jamvini kimya ; unajua kwanini? Chadema wamecheza kama Pele katika angle zote
1. Viongozi wakuu wote wameshiriki akiwemo Lisu tuliyeambiwa ana ugomvi na Mbowe
2. Tuliambiwa watoto wao nao washiriki maandamo; Mbowe kuchukua watoto wote kuwapeleka front
3. Tuliambiwa maandamano ni vurugu,hakuna vurugu mwanzo mwisho.
4. Tuliambiwa wanaoandamana wanafikiri kwa kutumia nyayo; polisi na mkuu wa Mkoa wameandamana kila mmoja kwa njia yake sambamba na waandishi wa habari sidhani kama Nchimbi anaamini jeshi la polisi wanatumia nyayo kufikiri wala wana habari
5. Tuliambiwa maandamano yanalenga kupambana na SSH, maandamano yamejikita kwenye kero za wananchi.
6. Tuliambiwa maandamano hayaleti msosi mezani; wanasiasa wameona mabango yanavyoreflect maisha ya wapiga kura. Wapo busy kutatua kero ikiwemo kushusha bei ya sukari ambayo kabla ya kusikia maandamano hakukuwa hata na kauli ya bei elekezi
7. Tukaambiwa Watanzania hawataki maandamano, wenye dola wameona mwitikio ulivyokuwa mkubwa. Wametambua Watanzania wanaelewa wanataka nini.
8. Tukaambiwa na viongozi, wakae kwenye mazungumzo. Natumai wameona mazungumzo ya umma yalivyo na nguvu kuliko mazungumzo ya siri ya wanasiasa
9. Tukaambiwa polisi watafanya usafi, RC kaishia kufanya yeye usafi polisi wamemkataa
10. Tukaambiwa ni utekelezaji wa 4R, umma unasema hakuna 4R za mashinikizo . 4r ni kuruhusu mifumo ya sheria ifumuliwe tuache kuvumiliana na kuheshimiana kwa nguvu ya dola tuheshimiane kwa kuzingatia katiba na sheria.
Mbowe ana akili na pesa kuliko ukoo wenu mzima jumlisha na ukweni kwenu kote mlipooa / kuolewa wewe na ndugu zako, acha kumlinganisha na ujinga.Mwanasiasa sio mtu wa kumuamini hata siku moja.
Kwa utulivu wa haya maandamano wala sitostaajabu ikiwa yameratibiwa na CCM kuonyesha kuna demokrasia.
Mbowe keshakunja mtonyo wake kazuga kupeleka watoto mbele.
Tanzania hakuna upinzani vyama vyote ni matawi ya CCM na viongoz wa upinzani wote ni vibaraka wa CCM.
Kunywa maji kwanzaMwanasiasa sio mtu wa kumuamini hata siku moja.
Kwa utulivu wa haya maandamano wala sitostaajabu ikiwa yameratibiwa na CCM kuonyesha kuna demokrasia.
Mbowe keshakunja mtonyo wake kazuga kupeleka watoto mbele.
Tanzania hakuna upinzani vyama vyote ni matawi ya CCM na viongoz wa upinzani wote ni vibaraka wa CCM.
Mfa majiMwanasiasa sio mtu wa kumuamini hata siku moja.
Kwa utulivu wa haya maandamano wala sitostaajabu ikiwa yameratibiwa na CCM kuonyesha kuna demokrasia.
Mbowe keshakunja mtonyo wake kazuga kupeleka watoto mbele.
Tanzania hakuna upinzani vyama vyote ni matawi ya CCM na viongoz wa upinzani wote ni vibaraka wa CCM.
Lazima uhisi hivyo juu ya pesa za Mbowe ukilinganisha na ufukara wako wa kuishi kwa shemeji yako.Mbowe ana akili na pesa kuliko ukoo wenu mzima jumlisha na ukweni kwenu kote mlipooa / kuolewa wewe na ndugu zako, acha kumlinganisha na ujinga.
Mkuu najitegemea kwa kila kitu, kazi nzuri na mitikasi mikubwa na ya maana ambayo wewe na kizazi chako pengine mnahitaji nguvu kubwa sana kupata au msiipate mpaka mnakata moto.Lazima uhisi hivyo juu ya pesa za Mbowe ukilinganisha na ufukara wako wa kuishi kwa shemeji yako.
Sio lazima kila mtu aamini mnachoamini nyinyi.