We dada si unaiona mvua hii!

MO11

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2014
Posts
19,057
Reaction score
39,387
.....Sasa nikupigie simu uje ukaleta visingizio visivyo na kichwa wala miguu

au ukaleta kiburi kisicho na faida

utajua kupangwa kwa kihindi kunaitwaje

halafu mkaja kulalamika wanaume haturidhiki haya

Hii taarifa tu wala sio kitisho

Hongera kwa waliooa kwa kipindi hichi.....
 
Mo11 umeona umtolee uvivu
Angalizo:ukimwi bado unapatikanika hivo umakini muhimu
 
Mo11 umeona umtolee uvivu
Angalizo:ukimwi bado unapatikanika hivo umakini muhimu
kufa kwa ukimwi ni kufa kishujaa ukilinganisha na mtu aliyekufa kwa maralia
 
Hahahaha ukisikia gududunduuuu ujue kuna mtu anachezwa wee endelea kuja teh teh MO11 napita tu
 
kufa kwa ukimwi ni kufa kishujaa ukilinganisha na mtu aliyekufa kwa maralia
Kama ana uhakika akija kwako ataondoka na mpunga hata inyeshe mvua ya mawe walahi atakuja tu tena kaloa makusudi ili uone michirizi ya papuchi

Lkn kama anajua hamna maslahi hata kuwe na radi nje hawezi kuja na hicho ndiyo kisingizio kitakuwa
 
Kama ana uhakika akija kwako ataondoka na mpunga hata inyeshe mvua ya mawe walahi atakuja tu tena kaloa makusudi ili uone michirizi ya papuchi

Lkn kama anajua hamna maslahi hata kuwe na radi nje hawezi kuja na hicho ndiyo kisingizio kitakuwa
aliyekwambia anakuja kuniuzia nani ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…