We edit academic dissertations

Aurelia13

Member
Joined
Oct 24, 2018
Posts
11
Reaction score
8
We edit English academic manuscripts/dissertations/Documents (Certificate, Diploma, Bachelor, Masters, PhD) for students.
Simply call to request our services.
Send us a softcopy of your document to the specified email in the advert and within 2 days we will send you an sms that your document is ready.
Pay through M-pesa or Airtel money to the number provided in the advert.
Our rates Tshs 1,000 per page.
Receive your fully edited document through your email and peacefully go onto graduate.
 
acha waandike wenyewe, msiwaandikie wanafunzi research zao. Let them learn the hardway how to do it! Supervisor wao anatosha na ndiyo kazi yake! hakuna editing hapo, ni kuwaandikia!
 
acha waandike wenyewe, msiwaandikie wanafunzi research zao. Let them learn the hardway how to do it! Supervisor wao anatosha na ndiyo kazi yake! hakuna editing hapo, ni kuwaandikia!
Imenichukua muda kuona kama ninachokisoma ndicho ninachokielewa? Yaani kuhariri kazi ya mtu ndiko kukoje huko?

Nadhani wanaogopa kusema wanawaandikia andiko zao kwa hofu ya kukamatwa kwa kuvunja sheria. Mtu anayesema page moja elfu moja maana yake kama ni page 30 ni 30,000. Hilo andiko litakuwa na makosa mangapi mengi kiasi hicho?
 
acha waandike wenyewe, msiwaandikie wanafunzi research zao. Let them learn the hardway how to do it! Supervisor wao anatosha na ndiyo kazi yake! hakuna editing hapo, ni kuwaandikia!
Hatutoi huduma ya kumwaandikia kazi mtu yeyote. Operations zetu zipo legal kabisa na hakuna kitu chochote crooked. Kazi yetu sisi ni kukunyooshea lugha tu na ndio maana tunakuomba ututumie kazi yako na sisi tunakunyoshea kutokana na ulichonacho. Hii ni huduma hasa kwa wale ambao lugha inatatiza. Ni huduma ambayo ipo kwenye academic field na ipo kihalali kabisa. Anaehitaji akaribie tu.
 
acha waandike wenyewe, msiwaandikie wanafunzi research zao. Let them learn the hardway how to do it! Supervisor wao anatosha na ndiyo kazi yake! hakuna editing hapo, ni kuwaandikia!


hello my friend inaonekana hujawai kufanya hii kitu. Tofautisha kuandika and kufanyiwa grammar check up. Even supervisors in most universities huwa wanarecommend students wao baada ya kuandika paper zao kutafuta professionals wa kuwasaidia katika language checking!

mfano mdogo wanafunzi wengi waliosoma engineering inasemekana hawako vizuri katika language, sasa wakishaandika paper zao huwa zinahitaji professionals wa language kuziweka sawa.

Hii haina tofauti na data analysis, data analysis inahitaji professinal statisticians, so mwanafunzi akishakusanya data zake anaruhusiwa kutafuta assistant wa kumsaidia katika data analysis, then yeye afanye interpretations
 
Umeongea vyema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Allen, mara nyingi dissertation ilikamilika haipungui page 100 hapo tunaongelea 100k+ kwa kazi nzima. Hii no kazi nzuri sana kama unazipata nyingi. Changamoto yake lazima wengine uaandikie na uwapikie data koz watakushawishi kwa kiasi fulani cha pesa. Ukishapika data kwa mmoja ndo itakuwa mchezo wako kwa watu wengi; mwishowe utawapa data sawa, kazi zitafanana na mwishowe utaanza kurekebisha titles ili ziendane na data zao walizonazo hapo msipokamatwa basi watejawao wata disco

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Nashukuru umetuelewa vyema. Sisi tunayoosha lugha a.k.a grammar. Hii ni huduma halali na hata walimu wa badhii ya wateja wetu huwatuma kuja kwetu tuwafanyie marekebisho kwenye lugha. That is all.Karibuni sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…