ndio tulivozoeshwaMkuu sijui kwani ilikuwa tukifika hapo tunanogewa na kuweka hako kaneno
nanikumbushe enzi hizi ukiniulize unataka kuwa nani nakujibu RUBANI sasa hivi nina mpango wa kwenda songea kulimaKama wewe hukupitia hizi mambo basi mwenzetu ulikosa uhondo..Kwa tuliosoma shule zetu zile msijifanye mmesahau
hebu tujikumbushe kidogo.....
(Kwa sauti ya kale kawimbo)
a b c d e f g h i j k ELOMENO p q r s t u v w x y z
Turudie tena. ..ELOMENO, p, q, r, s, t.........
Sahz unajifanya mjaaanja...
Eti Bongo bahati mbaya.....
πππππππππ
By Deadbody
π π π mkuu umenifanya nionekane wa tofauti!!, tumekaa sehemu ya serious tunasubiri kikao kianze ila hii comment nimecheka kwa nguvu sanau
nanikumbushe enzi hizi ukiniulize unataka kuwa nani nakujibu RUBANI sasa hivi nina mpango wa kwenda songea kulima
Ufuta?u
nanikumbushe enzi hizi ukiniulize unataka kuwa nani nakujibu RUBANI sasa hivi nina mpango wa kwenda songea kulima
ndiyo hivyo yaani siaminiiUfuta?
HahajahahahahahKama Bashite angeonesha vyeti ELOMENO isingekuwepo