We live only once and life is passing moment.

We live only once and life is passing moment.

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Hata Kama nasaa zao hazibebi mwonekano wao hiyo isiwe sababu ya kuyadharu maneno yao kwani mara nyingi ili uitambue njia vizuri ni busara kuwauliza wanaorudi na hata tukipata Muda Mwingi wa kuishi hatutoweza kuusimulia mwisho wetu Bali tutausimulia Mwanzo wetu ,Basi ukibarikiwa wabariki na wengine

Ukivushwa na wewe wavushe na wengine
Ili mwisho ukumbukwe kwa Mazuri maana sauti uzisikiazo nyingi si za furaha Bali ni vilio

Mwisho wa Kazi hii duniani nikuvishwa taji.

JumaaMubarak
 
True say.Watu tunajitoa sana ufahamu,ila moyoni tunajua tukiendelea hivi taji tutaiskia kwenye Bomba.
 
Hata Kama nasaa zao hazibebi mwonekano wao hiyo isiwe sababu ya kuyadharu maneno yao kwani mara nyingi ili uitambue njia vizuri ni busara kuwauliza wanaorudi na hata tukipata Muda Mwingi wa kuishi hatutoweza kuusimulia mwisho wetu Bali tutausimulia Mwanzo wetu ,Basi ukibarikiwa wabariki na wengine

Ukivushwa na wewe wavushe na wengine
Ili mwisho ukumbukwe kwa Mazuri maana sauti uzisikiazo nyingi si za furaha Bali ni vilio

Mwisho wa Kazi hii duniani nikuvishwa taji.

JumaaMubarak
Dah . Inatafakarisha sana
 
Back
Top Bottom