We mwanamke gani kila siku maharage tuuuu, ukibadirisha sana tembele.............!!


Lakini yeye mume kapewa pande lake, kila siku ndizi choma haina hata chachandu.....kwa hiyo si bibie tu alokuwa monotonous hata huyo baba mwenyewe alishiwa maufundi lol!!
 
halafu umetokea gest gani asiee......duh...ndo maana kichwa bado kina hang'over
Mwarubaini guest house. Kama si kunguni leo msingeniona hapa! LOL wanang'ata kama nyuki!
 
bht ......bwana kachoshwa na maharage tuu akaamia bora ndizi choma bila chachandu! muahahaha

hisani ya watu wa marekani itatutokea puani mwaka huu.
 

Ahsante kwa hilo angalizo dada, oups sore, mwalimu wangu Gaijin! Sasa sina mashaka tena na weledi wako wa lugha ya taifa! Ofkozi na yale mambo mengine flani flani:lol:
 
bht ......bwana kachoshwa na maharage tuu akaamia bora ndizi choma bila chachandu! muahahaha

hisani ya watu wa marekani itatutokea puani mwaka huu.

haaaaa sasa si amfundishe samaki wa kupaka

''unajiona mjanja kila siku ukitoka baa unakuja na ndizi choma.....'' lol

watu wa 'merekani' wana balaa haya yamewafikaje?
 
Kutokana na tangazo kweli mume ndi anayewajibika kumfunza bibie mapishi?:eek2:
 
Ahsante kwa hilo angalizo dada, oups sore, mwalimu wangu Gaijin! Sasa sina mashaka tena na weledi wako wa lugha ya taifa! Ofkozi na yale mambo mengine flani flani:lol:

mambo mengine flani flani eeeeeh! ..............huko asprin umefika wewe
 
kinachotakiwa ni 'creativity' na 'innovation' na 'be well informed' kwa pande zote mbili!!
 
tupunguze ukimya kuwa wazi na mwenzako. sio kulumbana, maneno ya kebehi kumbe kunalinalokukwaza, kaaziii kweli kweli.

lkn hili tangazo sasa,mmmmm:nono::nono::nono:
 
tupunguze ukimya kuwa wazi na mwenzako. sio kulumbana, maneno ya kebehi kumbe kunalinalokukwaza, kaaziii kweli kweli.

lkn hili tangazo sasa,mmmmm:nono::nono::nono:

ndo hapo sasa.............
 
mambo ya uswazi si wote wanaoyaweza !!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…