We mwanaume unikome!

Bora huyo ana kibamia kuna watu hatusimamishi kabisa Na hela tunazo ,,,nitafutie neno plz
 
Hahahaaaaa!!! Afadhali hata ya pili isingekuwepo angevumilika.
 
Alichokitegemea hajakipata huyo hahaha wanawake bana
 
wewe mtu unaakili sana...umemjibu vizuri...
 
Hayo mapovu mkapeane uso kwa uso, mbona wakati mnaanza hukuleta humu kwenye jamvi?
 
Asee povu LA omo mixer Foma gold....
Punguza kwanza mihemko mkuu kwani yupo humu ndani!?[emoji40]
 
We kwa mwonekano una bwawa la samaki,ndo maana unaona jamaa ni kibamia
 
Ni nani huyo?
 
Ulisikia yupo Jf. Toa aibu yako hapa.
 
Ungejaribu kumpatia Tigo, huenda nawe huko mbele ni kukubwa mno ndo maana uliona ana kajibamia.
 
Bora uniache tu kwani hata mi nlikua nakutafutia sababu,
1. Sina Kibamia na hata michepuko yangu inanisifia jinsi nlivyojaaliwa. Shida tu kwako ni kua "Rambo" yako ni kubwa mno kiasi cha kufanya "Mua" wangu uonekane kama kibamia. We hata Ngumi inaingia nzima nzima bila kugusa pembeni utakua mzima kweli wewe??

2. Mimi sio bahili, ila wewe una vizinga mno. Kila siku mtu wa vizinga tu kufaidi yenyewe sifaidi hata kidogo

3. Mapenzi nayajua sana tu. Shida una vurugu sana kitandani. Unadhani kufanya kwa fujo ndio ufundi, Jifunzee kutofautisha mama. Halafu mie sio kama wale wanaoingizaga mpaka magoti, vipepsi, etc sijazoea kihivyo
Hata nawe unikome kabisa na mxieeewwww mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…