We mwanaume unikome!

Njoo kwangu utakacho nitakupa ni pm tu mambo mubashara
 
yani nmesoma heading tu nikaacha nikakimbilia avatar yako na hichi ndicho ninachokomenti baada ya kuona avatar

hata ningekua mimi nisingekoma kukufata kama huyo mwanaume mwenzangu

asante
 
 
Wewe ndo muhusika kweli?
 
 

poleeee mamaa
 
kwa hiyo huyo mwanaume yupo MMU au ? na pesa ingekuwepo hiyo bamia usingeiona? acha zarau wew unajuaje kama wewe ndo bwala LA mtera
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…