We mwenyewe hembu fikiria

We mwenyewe hembu fikiria

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
1. Una miaka chini ya 35
2. Umeoa mke mzuri na mnapendana
3. Mna Afya njema
4. Mna usafiri wenu wa kuwafikiaha hapa na pale
5. Mnaishi kwenu hamdaiwi kodi
6. Sio matajiri ila pesa ya kubadilisha mboga na majukumu ya kijamii mnapata
7. Hamna ugonvi na majirani.

Sasa hapa ukichepuka unatafuta nini kama sio laana? Simaanishi ukikosa kati ya hivyo uchepuke, ila kuna mazingira hata ukichepuka dhambi lazima iongezeke
 
1. Una miaka chini ya 35
2. Umeoa mke mzuri na mnapendana
3. Mna Afya njema
4. Mna usafiri wenu wa kuwafikiaha hapa na pale
5. Mnaishi kwenu hamdaiwi kodi
6. Sio matajiri ila pesa ya kubadilisha mboga na majukumu ya kijamii mnapata
7. Hamna ugonvi na majirani.

Sasa hapa ukichepuka unatafuta nini kama sio laana? Simaanishi ukikosa kati ya hivyo uchepuke, ila kuna mazingira hata ukichepuka dhambi lazima iongezeke
Kuna watu wengine wakiishi kwa amani inakuwa boring wanataka drama angalau kidogo.
 
Mpk ufike hatua hiyo kuna kitu utaona hakipo sawa.Utaanza kuwaza hivi wale mbususu zilivyo tuna mbele huwa wana radha gani mda huo usiku wife kalala ww upo kweny jukwaa la Jambazi huko una shusha page tu.

Yani majaribu ya shetani ni mengi na hapendi amani
 
Mtu mzima na usmart wake hawezi akapiga teke kopo amelikuta barabarani,
Hayo hufanywa na Mtu mwenye utimamu wa mashaka.
Sawa

ila wanawake wote ni ngano lakini Kuna chapati, maandazi, keki sijui madude gani mengine mnayajua wenyewe
 
Back
Top Bottom