SOFTWARE Web Developer, nipo hapa kwa ajili yako

SOFTWARE Web Developer, nipo hapa kwa ajili yako

sic2019

Senior Member
Joined
Oct 14, 2018
Posts
129
Reaction score
81
Habari!, ndugu wana JF natumai wote ni wazima.

Mimi ni graduate niliyemaliza Bsc Computer science , nime base kwenye web development baada ya kuona uwezo na mapenzi niliyonayo katika upande huo.

Skills nilizonazo :-
1. Html, CSS
2. Javascript
3. PHP & laravel framework
4. Java
5. Python & Django framework

Kazi nilizowahi kufanya :-
1. andikatu.com
2. affluencetraining.co.tz

Lengo la uzi wangu nikukaribisha kazi zote zinazohusiana na web development kutoka kwenu mfano kama zifuatazo :-
1. Kutengneza website, blog, e-shop, system software etc
2. Troubleshooting website or system
3. Maintain and Update website or system
4. Monitoring traffics
5. Na nyingine mlizonazo



NB: kama huna kazi yoyote inayohusiana hapo lakini naweza kuifanya usisite kunijuza kikubwa iwe ya halali ili niweze kujikimu kimaisha ndugu yenu.

Ahsante!.
 
Habari!, ndugu wana JF natumai wote ni wazima.

Mimi ni graduate niliyemaliza Bsc Computer science , nime base kwenye web development baada ya kuona uwezo na mapenzi niliyonayo katika upande huo.

Skills nilizonazo :-
1. Html, CSS
2. Javascript
3. PHP & laravel framework
4. Java
5. Python & Django framework

Lengo la uzi wangu nikukaribisha kazi zote zinazohusiana na web development kutoka kwenu mfano kama zifuatazo :-
1. Kutengneza website, blog, e-shop, system software etc
2. Troubleshooting website or system
3. Maintain and Update website or system
4. Monitoring traffics
5. Na nyingine mlizonazo

NB: kama huna kazi yoyote inayohusiana hapo lakini naweza kuifanya usisite kunijuza kikubwa iwe ya halali ili niweze kujikimu kimaisha ndugu yenu.

Ahsante!.
UNAJUA KU HACK?????
 
Habari!, ndugu wana JF natumai wote ni wazima.

Mimi ni graduate niliyemaliza Bsc Computer science , nime base kwenye web development baada ya kuona uwezo na mapenzi niliyonayo katika upande huo.

Skills nilizonazo :-
1. Html, CSS
2. Javascript
3. PHP & laravel framework
4. Java
5. Python & Django framework

Lengo la uzi wangu nikukaribisha kazi zote zinazohusiana na web development kutoka kwenu mfano kama zifuatazo :-
1. Kutengneza website, blog, e-shop, system software etc
2. Troubleshooting website or system
3. Maintain and Update website or system
4. Monitoring traffics
5. Na nyingine mlizonazo

NB: kama huna kazi yoyote inayohusiana hapo lakini naweza kuifanya usisite kunijuza kikubwa iwe ya halali ili niweze kujikimu kimaisha ndugu yenu.

Ahsante!.
Njoo PM nikupe kazi mkuu
 
Habari!, ndugu wana JF natumai wote ni wazima.

Mimi ni graduate niliyemaliza Bsc Computer science , nime base kwenye web development baada ya kuona uwezo na mapenzi niliyonayo katika upande huo.

Skills nilizonazo :-
1. Html, CSS
2. Javascript
3. PHP & laravel framework
4. Java
5. Python & Django framework

Lengo la uzi wangu nikukaribisha kazi zote zinazohusiana na web development kutoka kwenu mfano kama zifuatazo :-
1. Kutengneza website, blog, e-shop, system software etc
2. Troubleshooting website or system
3. Maintain and Update website or system
4. Monitoring traffics
5. Na nyingine mlizonazo

NB: kama huna kazi yoyote inayohusiana hapo lakini naweza kuifanya usisite kunijuza kikubwa iwe ya halali ili niweze kujikimu kimaisha ndugu yenu.

Ahsante!.
Karibuni sana, wote mnakribishwa
 
Kama una website, blog, system unahitaji nikufanyie maintainance niambie nipo hapa kwa ajili yako.
Karibuni wote
 
Wahi sasa kwa kipindi hiki cha nane kwa bei sawa na bure kwa huduma utakayo hitaji.
Karibuni
 
Mkubwa kama unaweza wekeza sana muda wako kwenye teknolojia mpya ya block chain hayo mawebsite na maablog kwa kiwango kikubwa yameanza kupitwa na wakati maana kwa sasa hata mtu asiye na ujuzi wa programming anaweza kuyafanya
 
Mkubwa kama unaweza wekeza sana muda wako kwenye teknolojia mpya ya block chain hayo mawebsite na maablog kwa kiwango kikubwa yameanza kupitwa na wakati maana kwa sasa hata mtu asiye na ujuzi wa programming anaweza kuyafanya
Samahani Kiongozi unaweza kunielezea kidogo nawezaje kunufaika na block chain
 
Samahani Kiongozi unaweza kunielezea kidogo nawezaje kunufaika na block chain
Utaweza kunufaika maana developer wa hizi vitu ni wachache sana halafu hii teknolojia ndio kwanza inaanza kupata mass adoption kwahiyo kama ukiwekeza muda vizuri kwenye kujifunza hii tech lazima tu itakutoa
 
Back
Top Bottom