Web ya tcu ina shida gani leo?

Perry

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
10,058
Reaction score
2,195
Haifunguki,au ni kwangu tu?
 
tokea jana mkuu..nadhan labda wanaupload selections maana necta nayo ilikua hivihivi
 
mhhh mwanangu ila naiman watakua wanazi upload...embu tungoje ngoje mpaka j2 au j3 tuchek inakuaje...ila hapa kuna hawa watu waliokosea kujaza ndo watachelewesha mambo...
 
Ivi mkuu ni kukosea kujaza au wanamiss some informatn....xaxa jaman 2we honest kama kuna m2 yeyeto mwenye ushuhuda kat ya wale 425, aseme kitu bas
 
haraka za nini tulieni kama ni majina watatoa tu hata wacheleweshe lamna gani.
 
haraka za nini tulieni kama ni majina watatoa tu hata wacheleweshe lamna gani.

hawa wnaona raha 2b nominated as participants ngoja mwarobain unze kumiminwa kwenye beseni za couse work.....ha!ha!ha! mie sinaga september conference invitation
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…