Website development company

Website development company

Silvester3952

New Member
Joined
Jul 10, 2022
Posts
1
Reaction score
0
Jamani ndugu zangu wa jf, naomba kuuliza.

Ninahitaji kuanzisha native application ambayo inavitu complicated kiasi ndani yake.

Je, nitafte kampuni initengenezee App, ama nitafte developer wa mtaani?

Na kama ni kampuni, kampuni gani liko vizuri na lina uwezo mkubwa hapa Tanzania?
 
Jamani ndugu zangu wa jf, naomba kuuliza.

Ninahitaji kuanzisha native application ambayo inavitu complicated kiasi ndani yake.

Je, nitafte kampuni initengenezee App, ama nitafte developer wa mtaani?

Na kama ni kampuni, kampuni gani liko vizuri na lina uwezo mkubwa hapa Tanzania?
Nenda smart code
 
Back
Top Bottom