Nimejaribu ku-google site ambayo uliitangaza via JF SedAdventure(s?) na natumia maneno haya:Nimekuwa niki submit website yangu kwenye search engine mbalimbali kwa muda mrefu sasa lakini sijapata mafanikio kwani bado haifanyi vizuri kwenye search engine hasa Yahoo,Google, Bing nk
nime jaribu kulipia kwenye ads za google na yahoo hata Jamiiforums..lakin sipati Inquire je nifanya je...
Naamini humu kuna-Webmasters/Web Developers ambao mtasaidi..
Lengo langu iuze vile bado iko kwenye 0/10 ranking...kuhusu keywords nitalifanyia kazi maana huwa naweka hata hamsini asante kwa ushauri wako mkuu....Nimejaribu ku-google site ambayo uliitangaza via JF SedAdventure(s?) na natumia maneno haya:
Sedadventures Tanzania au sedadventure au sedadventures na nadhani hata wewe ulipo ukijaribu utapata results sawa na ninazopata, unataka nini haswa mkuu?
Mkuu, kuna kitu kingine muhimu cha kuzingatia, kuweka keywords zaidi ya 10 basi zinaharibu rank yako kwenye search engines!
Soma hii article itakupa 10 SEO techniquesSearch Engine Optimization (SEO) is the methodology used to optimize your websites so they rank well within search engines. Keyword Density, Page Titles, and Link Popularity all play a part in where your webpage appears in the search engines. Check out the tutorials in this section to learn more.
Asante, itabidi niingie darasa kidogo kuhusu RSS....Nadhani you are refferring to "Search Engine Optimization"
Soma hii article itakupa 10 SEO techniques
Top 10 search engine optimization techniques | Dustin Brewer Web Design (CLICK)
Kuongezea tip mmoja ambayo ilinisaidia mimi.
- Dynamic Content :
Yaani website yako iwe hai. Uwe mwepesi wa ku-update content. Mimi niliweka kitu kinachoitwa RSS feeds. Niliweza kutumia RSS (pamoja na script nyingine) kuleta habari kutoka tovuti mbali mbali na kuziweka kwenye tovuti yangu.
Huu ujanja uliniwezesha kupandisha tovuti yangu juu kwenye google mpaka ikawa ya tatu kwenye search.
Ilinichukua miezi mitatu, so you should have patience.