website ya majira kulikoni?

Mimi pia nimejaribu sikupata. Nimemwuliza mhariri, nasubili majibu. Nitakujuza kinachoendelea. Inawezekana mafisadi wamwapa onyo kama kawaida yao.
 
Pia na ya Chadema nayo haipatikani, sijui kuna kitu gani kinaendelea hapa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…