Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Duuh. Dr Nchimbi si alishahamia Cairo Egypt?Website ya Ubalozi wetu Brazil Inavutia Sana. Karibu tujionee namna ambavyo Balozi zetu zinavyovutia wawekezaji. Ambassador's Message | Tanzania Embassy in Brasilia, Brazil
Wanasubiri maelekezoAdelardus Kilangi ndie balozi huko ila kwenye website wanaeleza ni Nchimbi.
Hawa jamaa wa IT wa wizara wamelala po
Hivi namna hii majirani si wanacheka Sana?Hongera sana Kwa uwakilishi
Inafikirisha sana. Upumbavu huu sijui utaisha lini!Website ya Ubalozi wetu Brazil Inavutia Sana. Karibu tujionee namna ambavyo Balozi zetu zinavyovutia wawekezaji.
View attachment 2467330
Ambassador's Message | Tanzania Embassy in Brasilia, Brazil
Madhara ya kupeana kazi kwa ConnectionAdelardus Kilangi ndie balozi huko ila kwenye website wanaeleza ni Nchimbi.
Hawa jamaa wa IT wa wizara wamelala po
Naam!Madhara ya kupeana kazi kwa Connection
SatireMbona sioni kinachovutia zaidi ya picha ya Shubash patel ambae akina nchimbi walimuuzia jengo la umoja wa vijana kiwizi kabisa!
Kwenye hiyo picha ya mlima Kilimanjaro wanaweza pia kupachika maneno yanayosomeka "highest mountain in Africa"; au haitapendeza?Website ya Ubalozi wetu Brazil Inavutia Sana. Karibu tujionee namna ambavyo Balozi zetu zinavyovutia wawekezaji.
View attachment 2467330
Ambassador's Message | Tanzania Embassy in Brasilia, Brazil
Ubalozi wa Kenya, Brazil
Hamna haja ya tume, aliyewapa taarifa yupo humu anatakiwa arekebishe tu mara moja ili tusiingie gharama zisizokuwa za msingiTume ya uchunguzi iundwe waende Brazil kukusanya maoni Kwa nn website Ina taarifa za zaman