Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 855
Ukiisoma vizuri hii website utakuta makosa mengi sana lakini inawez akukupa insight kidogo jinsi gani ofisi ya Pinda inavyoongozwa na bunch of JOCKERS
tazama upande wa policy kisha utagundua either wanafanya kusudi ku sabotage au basi tuu hawajali
Halafu positions nyingi ziko wazi na watu kila kukicha wanaomba kazi lakini hawapewi
Pinda kulikoni?
No wonder akina Salva ikulu wamegoma kupandisha website ya Ikulu
hizi web site za tz ndio tunapigiaga tizi la hacking ziko uchi sana......hilo web ra taifa lina swine flu msilitembelee.....
Ukiisoma vizuri hii website utakuta makosa mengi sana lakini inawez akukupa insight kidogo jinsi gani ofisi ya Pinda inavyoongozwa na bunch of JOCKERS
tazama upande wa policy kisha utagundua either wanafanya kusudi ku sabotage au basi tuu hawajali
Halafu positions nyingi ziko wazi na watu kila kukicha wanaomba kazi lakini hawapewi
Pinda kulikoni?
No wonder akina Salva ikulu wamegoma kupandisha website ya Ikulu
Kama kawaidaa yako GTkwa kutumia kigezo chako umeiona ya Kayanda tu mbona ya mfadhili wako ndio haifai kabisa;kwani sio tu haiwi updated bali ina virus pia, kwani ukiingia tu ving'ora mtindo mmoja!! Sijui hata kama mkulu mwenyewe anaitembelea hiyo website yao. Hata huyo msaidizi wa Rais aliyekuwa na blog yake angewasaidia basi kama ana utaalam!
Du ...hapo GT ndo umeniacha hoi!....lol !
U r talking about the white-elephant websites!
Hawawezi ku-update zile kwasababu wataalamu waliozifungua walisharudi kwao...it was a funny business to amuse the pple!
najua mengi tu......unajua nini wewe kuhusu kompyuta?
najua mengi tu......