mmmmh! huyo naye ni kilaza tu, mbona wenzie wengi wako vizuri upande huo!!!!hajui lolote ndo maana nilimuacha
sasa kama ni hapo hapo ofisini anasema alikuwa anapanga mafaili mara eti bosi akamtokea sasa hapo ni saa ngapi waliandaa zana? hahhahahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umejuaje kama aligonga kavu????
MhUtakuwa ulienjoy sana na huo mchepuko wa kiislamu, maana wanaume wa dini ya kiislamu wanajua sana MAHABA na MAPENZI wako vizuri anakupa penzi hadi unaona kama dunia inaangalia chini juu
mmh! hapo sasaNaogopa kuvalishwa ushungi tu mguu wangu uonwe saa ngapi sasa na wine je ntainywaje
wow! kumbe huwezi kula hiyo kitu! ila sio mbaya unajiepusha na minyoo
Naogopa kuvalishwa ushungi tu mguu wangu uonwe saa ngapi sasa na wine je ntainywaje
Kunywa na Robertson iko vizuri hahahaahahhah
ahaaaa ni cha ukweli yaani nilifunga ukumbi.unajua kitu kinaitwa new look wewe? yaani kiatu kweli shogaa.kiatu kiatu directly toka kiwandani ulaya hukoaisee cha laki moja! kina bundle la MB za mwezi mzima au ni kiatu tu! hahahahaha hongera sana rafiki yangu
hahahaahahshost hyo sasa 'zarau' ninywe robertson? hahahaha !maji yale aku !labda km siku hyo nina' friendly match' !azawaiz 'siipend kivile haileweshi inalegeza tu!
Aisee safi sana! hebu ki kong'oli picha unitumie PMahaaaa ni cha ukweli yaani nilifunga ukumbi.unajua kitu kinaitwa new look wewe? yaani kiatu kweli shogaa.kiatu kiatu directly toka kiwandani ulaya huko
mimi nilivalishwa shosti ninazo kabatini huwa nacheeeka kweli ujana maji ya moto.niliitwa na malkiaNaogopa kuvalishwa ushungi tu mguu wangu uonwe saa ngapi sasa na wine je ntainywaje
ngoja nikifika homeAisee safi sana! hebu ki kong'oli picha unitumie PM
Sawa sawa, ni mchuchumio? hahaha nina kiherehere yaani nashindwa kusubiria pichangoja nikifika home
hapana ni kiatu cha chini tu cha kijanjaSawa sawa, ni mchuchumio? hahaha nina kiherehere yaani nashindwa kusubiria picha
Sawa sawa, ni mchuchumio? hahaha nina kiherehere yaani nashindwa kusubiria picha
Kitanifaa maana mie sipendi maviatu marefu kwa kuwa ni mrefuhapana ni kiatu cha chini tu cha kijanja