3 Angels message
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 5,350
- 15,426
Mwelezeni hapo siyo mahali pake. Hata kwenye daladala anavaa beji kila MTU amtambue kama mama mchungaji? Kama siyo mwambieni na hapo siyo kanisani. Kama MNA nidhamu ya woga kubalini matokeo.Yeye anataka tumchukulie na kumpa "heshima" kama anayopewa na waumini kule kanisani kwao, hahahhahaha
Hahahaaaaa!!
hahaha, ni kweli umesema kweli Ruge tunanidhamu ya woga,hahahahahaMwelezeni hapo siyo mahali pake. Hata kwenye daladala anavaa beji kila MTU amtambue kama mama mchungaji? Kama siyo mwambieni na hapo siyo kanisani. Kama MNA nidhamu ya woga kubalini matokeo.
Du! hapana usifike mbali sana 3 AngelsNi mama mchungaji wa mtaa gani ili niwasiliane na viongozi wa conference yake maana umesema ni wa SDA?
sawa mkuu palanganaUsifananishe tabia binafsi na dini ya mtu! Hakuna mafundisho ya SDA yanayomtuma uyo "mchungaji" afanye hayo kulingana na maelezo yako[emoji4][emoji4][emoji4]
sasa wee una abudia wapi kaka Al-Watan?Ukishakubali kuchungwa na mchungaji unatakiwa uwe kondoomwema usikilize anachosema Mama Mchungaji.
Ndiyo maana wengine tulishakataa kabisa upuuzi huu wa kuchungwa kama wanyama wasio na maarifa.
hahahha, ngoja tumuangalie kwanzaMfukuzeni
Mzinga wa asali au?[emoji13] [emoji13]Tena umenikumbusha ngoja niagize mzinga kwanza.
Nami nilikuwa najiuliza the same.Atasoma huku kweli
Ndio dota,huo huo.Mzinga wa asali au?[emoji13] [emoji13]
Sijawahi hata kufikiria kujaribu.hahahahahah, asijaribu mwishowe maana kama hajawahi kunywa akianza kunywa atamzidi hata mwalimu wake.
Labda ni memberNami nilikuwa najiuliza the same.