Kisima
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 4,114
- 4,486
Wapendwa wana MMU hasa ınfıdelıcıous naomba tuıtafakarı hıı sms alotumıwa ınf.mwenzenu;
"Enough is enough, kumbe ambacho huwa unakifanya ni makusudi, unafanya huku ukicheka, nimeshangaa sana na umenisikitisha sana, sijajua ujasili unapata wapi eti kati ya wake zangu huyu naye ni mke wangu, naomba usiludie hiyo kauli, my status si ya kupangwa foleni na wanawake, na kwa lipi na kipi ulichonifanyia hadi utamke hivyo, what i know unaiba naiba, hakuna mtu atakaye oa au kuolewa hapa, umenidhalilisha sana na nimesikitika sana, jinsi ulivyo si wakuongea upumbavu, na kuanzia mda huu na siku hii nikipokea simu yako au kukaa na wewe tena naomba nilaaniwe maana nimechoka kila siku mauzi unajifanya.unaomba msamaha kumbe wa kinafki, Najuta kukufahamu. Ndo nataka nione huo umwamba wako kwamba nikikuacha unaniua, nasubili nione unavyoniua, kumbuka unadili na mtu mwenye elimu kama yako, Mimi si mtoto, Nasubili uniue kama ulivyoahidi utaniua "
"Enough is enough, kumbe ambacho huwa unakifanya ni makusudi, unafanya huku ukicheka, nimeshangaa sana na umenisikitisha sana, sijajua ujasili unapata wapi eti kati ya wake zangu huyu naye ni mke wangu, naomba usiludie hiyo kauli, my status si ya kupangwa foleni na wanawake, na kwa lipi na kipi ulichonifanyia hadi utamke hivyo, what i know unaiba naiba, hakuna mtu atakaye oa au kuolewa hapa, umenidhalilisha sana na nimesikitika sana, jinsi ulivyo si wakuongea upumbavu, na kuanzia mda huu na siku hii nikipokea simu yako au kukaa na wewe tena naomba nilaaniwe maana nimechoka kila siku mauzi unajifanya.unaomba msamaha kumbe wa kinafki, Najuta kukufahamu. Ndo nataka nione huo umwamba wako kwamba nikikuacha unaniua, nasubili nione unavyoniua, kumbuka unadili na mtu mwenye elimu kama yako, Mimi si mtoto, Nasubili uniue kama ulivyoahidi utaniua "