Weekend bila EPL

Goodluck Mchika

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2018
Posts
1,228
Reaction score
1,138
Pamoja na wapingaji kuwa Epl si bora lakin ni waz ligi hii ni bora kwa utafit
Wangu hapa kitaa wengi wanaona jmosi na jpili zimekuwa ndefu sna kipindi hiki
Cha mapumnziko vipi hali kwenu.....
 
Mkuu ile kitu ni balaa ni zaidi ya burudani
Nashangaa hao wanaoipinga wakat wamenunua dstv au wanalipia banda la video na mabando
Kuitazama

Sijawahai kifikiria kitazama mpira wa wa hapa bongo ht km wataniita s mzalendo hila kinachonisinu
Ni bongo siasa had michezoni mpira hauna ubunifu tofaut na kenya timu zimekuwa na ufund na siasa wameweka pemben kwenye michezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…