Noel Ngiama Makanda
JF-Expert Member
- Oct 14, 2018
- 1,782
- 3,103
Wewe nae ushaanza kunivuruga ujue...mayi ni kilugha gani
si ukanunue unywe au unataka kuipataje.......by the way MBINU HIIEwaaaaaaa.....nikipata double times 8ya huyo mnyama hapo pembeni,,wallah siku yangu itakuwa konki zaidi ππ
Nilikuwepo hapo, nimeondoka baada ya mechi ya Man City vs Tottenham kuisha.Sisi tunaendelea tu...tupo wana JF wa 3 hapa BucketsView attachment 1184059
Weekend ijayo drinks on me!Nilikunywa mkuu na nililewa lkni kwenye level ya kuongea kiingereza.πππ
NGOJA ALEWE ABAKWE...Lewa mama maisha ndio hayahaya fanya vile moyo wako unataka
Today ukiitumia nami itakua sio mbaya... Righ? Fungua pm tuSasa wewe umejua kucheza na karata πππ
Kutaka kulewalewa mpka kuondolewa upwekeπ₯π₯π₯
Pia tafuta Me awe anakubebisha sametimes.Mbn kama tunakaribia kufanana kwenye hizo sifa aiseeh...
Itabidi mwisho wa mwezi nikatize pale Mohas hakuna namna..we only livu once [emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635]
Done.Noted.save the dateπ
Deal closed.... But is it realistic?Done.