kinyamkela mahaba
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 1,178
- 1,596
Khali za uzima jamani
Jana baada ya kutoka job mida ya saa kumi jioni nikaenda chimbo jipya kwangu kwa ajili ya masaji. Home niliona ni mapema sana kurudi.
Kwa kweli dsm ni pana mno mno mno.
Basi nikakaribishwa na kuingia ndani. Nilikuwa na 50000 mfukoni.
Nikanyoa nywele kwanza then nikapelekwa kwenye chumba cha masaji.
Kabla ya hapo kinyozi(dada) akaniambia kuna ukoko kwenye nywele nikakumbuka dar kuna joto so akanipaka dawa flani kabla ya kunyoa.
Mule ndani nikavua nguo nikabaki na taulo. Ila nataka nijue kitu kimoja. Why ukishazifua wanazitupa tu kwenye meza means hakuna utaratibu mzuri?
Walipokuwa wakinisugua mgongo waka stop wakasema nina mafuta na joto jingi hivyo nikaoge kwanza.
Ikabidi nikaoge kwanza kabla ya kuendelea. Nikatumia dk 2 tu chap.
Kisha nikajikausha na kuendelea na masaji. Walinisugua sana.
Mpaka saa 2.5 nikawa nimetakata sasa.
Wakaniambia maji niliyotumia ni mengi na muda ni mwingi mno so nikawalipa 50000 tu kishkaji.
Nikachukua nguo zangu nikavaa huyooo home huku nikimeremeta.
Usiku huo niliburudishwa na mauno mwanana ya Haika mke wangu mdogo mtarajiwa.
Jamani tusiache kwenda masaji. Ni kwa wanaume kamili tu.
Vijana msikate tamaa siku moja mtafika hapa nilipofika
Jana baada ya kutoka job mida ya saa kumi jioni nikaenda chimbo jipya kwangu kwa ajili ya masaji. Home niliona ni mapema sana kurudi.
Kwa kweli dsm ni pana mno mno mno.
Basi nikakaribishwa na kuingia ndani. Nilikuwa na 50000 mfukoni.
Nikanyoa nywele kwanza then nikapelekwa kwenye chumba cha masaji.
Kabla ya hapo kinyozi(dada) akaniambia kuna ukoko kwenye nywele nikakumbuka dar kuna joto so akanipaka dawa flani kabla ya kunyoa.
Mule ndani nikavua nguo nikabaki na taulo. Ila nataka nijue kitu kimoja. Why ukishazifua wanazitupa tu kwenye meza means hakuna utaratibu mzuri?
Walipokuwa wakinisugua mgongo waka stop wakasema nina mafuta na joto jingi hivyo nikaoge kwanza.
Ikabidi nikaoge kwanza kabla ya kuendelea. Nikatumia dk 2 tu chap.
Kisha nikajikausha na kuendelea na masaji. Walinisugua sana.
Mpaka saa 2.5 nikawa nimetakata sasa.
Wakaniambia maji niliyotumia ni mengi na muda ni mwingi mno so nikawalipa 50000 tu kishkaji.
Nikachukua nguo zangu nikavaa huyooo home huku nikimeremeta.
Usiku huo niliburudishwa na mauno mwanana ya Haika mke wangu mdogo mtarajiwa.
Jamani tusiache kwenda masaji. Ni kwa wanaume kamili tu.
Vijana msikate tamaa siku moja mtafika hapa nilipofika