tete'a'tete
JF-Expert Member
- Feb 10, 2010
- 472
- 64
mimi nawai mlimani city
<br />tukutane Buguruni KIMBOKA, kuanzia saa 3 usiku kesho!
<br />Mbona watu wanakutana kila siku, it's up to you.
Ahahahahaah!! Acha uoga siku hizi hakuna usalama wa taifa!Huu mtego!! Kama usalama wataifa tutajuaje.
<br />Mbona watu wanakutana kila siku, it's up to you.
<br /><br /><br />
<br /><br />
Hana habari huyu hata sasa tumekutana
Nimefikiria haya maisha nimeona ni mafupi sana kutokana na mambo yanayotokea katika nchi yetu na katika jamii kwa ujumla ajali/ufisadi na magonjwa na mambo mengi mengi!! nimetamani sana JFs wa Dar tukutane wekeend moja kwa lengo la kufahamiana/kufurahi/tunywe/ tubadilishane mawazo mawil matatu/na ikiwezekana tupate kudance na kuchangamsha miili yetu/sasa wana Jf hili swala mnalionaje?? mie nipo Dar... hili ni wazo langu tuu...
<br />Huu mtego!! Kama usalama wataifa tutajuaje.