Wabongo sie noma .... Tushasikia ana hela unategemea nini? Sijui tumekatika vichwa ama vipiIna maana watu wanamuombea Man of people tetekuwanga na mabusha ya kudumu huku wanaomba namba yake? Na ubazazi wote huo.
Jinsia ipi inaongoza kuomba unamba fulani hivii maana siku hizi pasupasu wadada na wakakaAfu mnaoniomba namba ya man of the peopleee tulizeni nyege, mtakufa na ngomaaa, hiki kina kirefuuu mjue. Kwanza man of the people condom zinambanaaa mjue, mtaweza kujikaza. Niwape namba nimerogwaaa! Hahahaa!
Ila wanawake man of the people anaomba ushauri na ufirauni watu ndo kwanza mnataka namba jamaniii. Aaaah jamani tema No Free P, man of the people niachieni mimi.
Afu mnaoniomba namba ya man of the peopleee tulizeni nyege, mtakufa na ngomaaa, hiki kina kirefuuu mjue. Kwanza man of the people condom zinambanaaa mjue, mtaweza kujikaza. Niwape namba nimerogwaaa! Hahahaa!
Ila wanawake man of the people anaomba ushauri na ufirauni watu ndo kwanza mnataka namba jamaniii. Aaaah jamani tema No Free P, man of the people niachieni mimi.
Haha shikamoo helaWabongo sie noma .... Tushasikia ana hela unategemea nini? Sijui tumekatika vichwa ama vipi
Yes, hakuiaibisha nchi kwenye anga za kimataifa...good!Hahahaha eti my country's honor is involved
Watu mbonaa mna pressure. Finali KUBWA LA MAADUI NA MAN OF THE PEOPLE. TUNAWEKA LIVECAM KABISAA!
Teh Yani kuna wanaume akiona tu mdada anavua Pete ya ndoa kabisa
Ila man of the people naye kazidi kujiendekeza. Kila siku analeta swagga za kujifanya tunalala wote ila hatu-do afu anaishia kuuza mechi, mfyuuu zake
Hapana me simtaki kwa kweli, namuombea tu tezi dume hapaHahahaaa umeshapewa namba yake? Nasikia PM ya kungwi imejaa maombi ya namba.
Hahaa em tuacheni team roho mbaya jamaniI expected this maana sio kwa promo hii anayopewa man of the people. Mweupe, diplomatic worker, analipwa dola, Ana honga, anajua kupiga mechi exactly what ladies like.
Kuna team roho mbaya ambao huko PM wanaomba namba yake.
Man of the people.
Captain wa team ya taifa ya wala papuch!
Silent killer alikukosa na huyu pia usituambie kakukosa, haujafikia ujanja huo bado
HihihiSasa mimi sio mweupee rangi ya mtumee, mimi ni rangi ya mkaaa, na supporting documents sinaa, mimi mchagga, nimepigwa pasi, huyu Man of the people atanitakaaa? Mambo ya kuambiwa vaa nguo zako chukua $1000 hapo uende, bila kuguswaaa, nitakimbia JF bila kuaga. We unaona man of the people anatakaga mchezooo? Hahahaaa!
Wanao omba namba za MAN OF THE PEOPLE WANADAI WAO WAPO GADOO, WAMEKAMILIKA. Rangi check, misambwanda check, roho ngumu check, wako fiti kila idara.
Ndo mnisaidie kumshinikiza man of the people anileee.
Hahaaaaaaa isije ikawa unamuotaHapana me simtaki kwa kweli, namuombea tu tezi dume hapa
Iongezeee kidogo khaaaa man of the people anawavalisha uhusika wanaume wenzieSasa mimi sio mweupee rangi ya mtumee, mimi ni rangi ya mkaaa, na supporting documents sinaa, mimi mchagga, nimepigwa pasi, huyu Man of the people atanitakaaa? Mambo ya kuambiwa vaa nguo zako chukua $1000 hapo uende, bila kuguswaaa, nitakimbia JF bila kuaga. We unaona man of the people anatakaga mchezooo? Hahahaaa!
Wanao omba namba za MAN OF THE PEOPLE WANADAI WAO WAPO GADOO, WAMEKAMILIKA. Rangi check, misambwanda check, roho ngumu check, wako fiti kila idara.
Ndo mnisaidie kumshinikiza man of the people anileee.
Hapana kwa kweli, afu hata vigezo vyake me sina. Wacha tu nimuombee mabaya lol[emoji125] [emoji125] [emoji125]Hahaaaaaaa isije ikawa unamuota
Nasikia mnamkataa huku uko pm ni kumsifia hatariHapana kwa kweli, afu hata vigezo vyake me sina. Wacha tu nimuombee mabaya lol[emoji125] [emoji125] [emoji125]