Mi dompo tu plzz,Nataka nikupeleke tukapige vyombo
π³Unazinguaπ haya sawaLini nilisema nimeoa bhana? π
Huyo uliyemtaq huenda atakuja kujibu hilo swali.
Mwache kama alivyo....labda alikatazwa na baba yakeπ@Icebreaker alinikataa,.kasema hataki kuwa na wake wawili
Sasa nazingua nini tena?π³Unazinguaπ haya sawa
SawaMi dompo tu plzz,
Nimejiweka pembeni shoga yanguMwache kama alivyo....labda alikatazwa na baba yakeπ
πππ@Icebreaker alinikataa,.kasema hataki kuwa na wake wawili
Yaani unahukumu kesi kwa kusikiliza upande mmoja? Hunitendei haki bhana.Mwache kama alivyo....labda alikatazwa na baba yakeπ
Unasoma alama za nyakati unagundua hapa sihitajiki basi unajiweka pembeni kiroho safiπ
What if na mimi nimesoma alama za nyakati nikaona sihitajiki? ππUnasoma alama za nyakati unagundua hapa sihitajiki basi unajiweka pembeni kiroho safiπ
Ha haaa hii kali kweli.kweli.What if na mimi nimesoma alama za nyakati nikaona sihitajiki? ππ
Sasa tunafanyaje?Ha haaa hii kali kweli.kweli.
π π π π umenichekesha
Mi hata sijui eti πSasa tunafanyaje?
π
[emoji15]Wewe unataka kunikimbizia mume wewe[emoji847][emoji849]
π₯²π₯²π₯² mwaka tatanishi, lotion ambayo natumia imeisha dah.. huwa ina kaharufu kazuriWeekend upo kama nyoka nyoka tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tafuta demu SABUNI itakuua [emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
AiseeπNimejiweka pembeni shoga yangu