Tag bebe wako ukimsindikiza na maneno mazuri na matamuHaya ngoja tuone mchezo unachezwaje
Nimesoma vibaya hapo mwanzoni ikabidi nisome kwa upyaAcha nijifariji, na wangu hayuuuuuniβ€οΈ
We mzee ππNimesoma vibaya hapo mwanzoni ikabidi nisome kwa upya
Kuniokota katk mamillion wanaonidharau ni bahati tosha....acha nimheshimu mkuuAnakupa nn huyo
Yani rfk angu Carrasco putin huyu huyu ndo anakupa faraja au Carrasco gani?Mwite mtu aje akupe faraja Kwa maneno mazuri mie ni Carrasco putin dear naomba uje unifariji
PENZI
Penzi njia ya adhabu, sina budi kuipita,
Tena ina nyingi tabu, ila siwezi iwata,
Leo naomba jawabu, ni lini nitakupata?
Penzi pia ni safari, ya hatari na salama,
Kuna wakati shuari, mara upepo wavuma,
Sote tuwe wasafiri, katu tusirudi nyuma.
Penzi ni kama misimu, iliyo ndani ya mwaka,
Kwa fuuza haidumu, kipupwe mara masika,
Kuna muda ufahamu, majani hupukutika.
Penzi ni kama bahari, hutulia huchafuka,
Hupita mumo vihori, meli kubwa kadhalika,
Hivyo lataka hadhari, sivyo tupu kusumbuka.
Penzi mithili ya jua, huchomoza na kuzama,
Haya tusipoyajua, hakika twaenda kwama,
Hapa tamati natua, katika wako mtima. Hii ni kwakipenzi changu Carrasco putin .
Je wewe unampa faraja nani??
Atapata mingine siriniOoh too badπ
Amekosa ujumbe mzuri leo
Waambie hakuna Cha pekeyaoMe thiogopi
Nawahofia wenzangu
Wathije kulia π
Kwanini myYani rfk angu Carrasco putin huyu huyu ndo anakupa faraja au Carrasco gani?
Mzee nani Sasa??We mzee ππ
Wake wenza tutaunga telaNikimtaja hapa sasa itakuwaje kama tuko list?
Wake wenza mtavumilia??
Same to u there dear ππ₯°π₯°Beshtieee
Wkend muruaa na mubebe ako Half american
Tafuta mwingine huyo ni tozi nyangema.Kwanini my
Haya sawa π₯°π₯°π₯°π₯°S
Siwez love hata siku na moja
Atanisumbua moyoTafuta mwingine huyo ni tozi nyangema.
π€£π€£π€£π€£π₯°π₯°π₯°
Mtaje πNikimtaja hapa sasa itakuwaje kama tuko list?
Wake wenza mtavumilia??
Huyo anataka majimama tuAtanisumbua moyo